Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783
↧

Mbunge wa CCM amuangukia Waziri Mkuu Majaliwa

$
0
0
IMEELEZWA kuwa upungufu wa majengo ya kutolea tiba pamoja na vyumba vya kulaza wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Mbozi ni miongoni mwa mambo yanayochangia  wagonjwa kulala wawili hadi watatu katika kitanda kimoja, anaandika Mwandishi Wetu. Kauli hiyo ilitolewa na Mbunge wa viti maalum (CCM) Juliana Shonza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa ...
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Latest Images

Trending Articles