Najua unatamani kujua kuhusiana na kinda mpya wa Yanga aliyejiunga na timu hiyo akitokea Coastal Union Juma Mahadhi kutokana na uwezo wake kiasi cha kupelekea kocha wa Taifa Stars Boniface Mkwasa kumuita katika kikosi cha Taifa Stars, AyoTV imempata katika exclusive interview “Toka nimeanza kujitambua kuanza kucheza soka rasmi 2010 nilipata nafasi ya kucheza Coastal […]
The post VIDEO: Kilichowahi kumkatisha tamaa Juma Mahadhi wa Yanga katika soka appeared first on millardayo.com.
↧