Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi ashiriki kufanya isafi Hospitali ya Chake pamoja na kutoa zawadi kwa wagonjwa

$
0
0
 MJUMBE wa baraza la wawakilishi nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwa kwenye usafi maalum wa hospitali ya Chakechake, kabla ya kuitembelea na kaikagua na kuwapa zawadi watoto waliolazwa hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). DAKTARI dhamana  wa hospitali ya Chakechake Pemba Ali Habib, akitoa neno la shukuran kwa mjumbe wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba,  Mhe: Zulfa Mmaka Omar, mara baada ya kufanya kazi ya usafi hospitalini hapo na kuwapa zawdi watoto waliolazwa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Trending Articles