Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

#WC2018: FIFA kumchunguza beki wa Croatia Domagoj Vida

$
0
0
Taarifa kutoka nchini Russia, zinasema kuwa, Shirikisho la soka duniani, FIFA, limeanzisha uchunguzi dhidi ya beki wa Croatia, Domagoj Vida, kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya wachezaji wa Urusi, baada ya mechi iliyokutanisha timu hizo jana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>