Maafisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku kitendo cha kuwaficha wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola na kuahidi watahakikisha polisi wanatoa ulinzi wa kutosha kwa maafisa wa afya wanaofanya shughuli za mazishi.
↧