Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Wamarekani watumia “Twitter” kuunga mkono waathirika wa mashambulizi ya Orlando

View Article


'Education can eradicate prejudices against albinos'

It's International Albinism Awareness Day, but what does it mean for people living with the skin condition? DW spoke to Abdallah Saleh Possi, a Tanzanian deputy state minister, who is an albino.

View Article


Mwakilishi wa Fuoni Awataka Wananchi Wake Kuyatumia Vizuri Mafunzo Yanayopata.

Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Yussuf Hassan Iddi, akitowa neno la shukrani kwa Wananchi wa Jimbo hilo wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo kwa Wajasiriamali Wadogowadogo yalioandaliwa na Jimbo...

View Article

Mhe. Waziri Mwugulu Nchemba Aapishwa na Kupokelewa Makao Makuu ya Wizara Dar...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh, Mwigulu Nchemba(kushoto), muda mfupi baada ya Sherehe ya Kumwapisha iliyofanyika Ikulu...

View Article

Dola 36 milioni zatumika kufikisha huduma vijijini

Zaidi ya Dola 36 milioni za Marekani zimetumika katika kufikisha huduma za mawasiliano ya simu maeneo ya vijijini yasiyo na mvuto wa kibiashara nchini.

View Article


Makamu wa Rais Akabidhi Futari kwa Watu Wenye Mahitaji Maalum Mkoa wa Dar es...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa shughuli ya kukabidhi Futari na Chakula kwa watu wenye mahitaji maalum katika ofisi za UDA-RT Jangwani...

View Article

South African albinos hail progress against ritual killings

On International Albinism Awareness Day, albinos in South Africa say ritual killings have reduced. But Nomasonto Mazibuko, Executive Director of Albinism Society of South Africa, tells DW there is...

View Article

Raia 150 wa Urusi walihusika kwenye ghasia Marseille

Kundi na watu wapenda vurugu waliopewa mafunzo ndio waliohusika kwenye ghasia zilizotokea katika mji wa Marseille wakati Urusi ilicheza na Uingereza.

View Article


Uganda yazima shambulizi dhidi ya polisi

Maafisa wakuu nchini Uganda wanasema kuwa walinda usalama wamekabiliana vikali na kundi moja la watu, waliokuwa wamejihami kwa silaha, waliojaribu kuvamia kituo cha polisi kilichoko katikati mwa Gulu

View Article


VIDEO: Trailer ya game mpya ya FIFA 17, muonekano wa Mourinho Man United

Kwa watu wangu wa nguvu ambao wanapenda game za Play Station maarufu kama PS, hii inawahusu game mpya ya FIFA 17 ina maboresho kiasi kulinganisha na game iliyopita, lakini miongoni mwa mabadiliko...

View Article

Baraza la uhusiano wa Marekani na Waislam laonya dhidi ya wito wa Trump

Maneno hayo yalitolewa Jumatatu baada ya mgombea mtarajiwa wa chama cha Republikan Donald Trump.

View Article

VOA60 Afrika: katibu mkuu wa CUF, Seif Shariff azuru Marekani kufahamisha...

View Article

'Oscar Pistorius has to pay for what he did'

South African athlete Oscar Pistorius must pay for killing his girlfriend Reeva Steenkamp, her father Barry has told a judge, breaking down in tears.

View Article


Sh1.5 bilioni za michezo zapelekwa kwenye madawati

Serikali imesema zaidi ya Sh1.5 bilioni zilizotakiwa kutumika kwa ajili ya fainali za michuano ya wanafunzi wa shule za msingi (Umiseta) na Sekondari (Umitashumta) zitaelekezwa kwenye utengenezaji wa...

View Article

Urusi kupigwa marufuku kutoka Euro2016

Urusi huenda ikapigwa marufuku ya kushiriki mechi za Euro za mwaka 2016 kutokana na fujo zilizosababishwa na mashabiki wake siku ya Jumamosi nchini Ufaransa.

View Article


Usishangae ukisikia Zlatan Ibrahimovic hajajiunga na Man United

Kwa zaidi ya wiki tatu sasa jina la staa wa soka wa kimataifa wa Sweden aliyekuwa anaichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, lilikuwa likitajwa kwa kiasi kikubwa kuwa...

View Article

Father of Slain Girlfriend: Pistorius 'Has To Pay For His Crime'

The father of Reeva Steenkamp gave heartbreaking testimony Tuesday as Oscar Pistorius' sentencing hearing continued. Barry Steenkamp says his daughter’s death “devastated” him and his family — and that...

View Article


Bangladeshi children making videos to tell their problems

A recently launched video news service, featuring stories by child journalists, aims to strengthen the voices of Bangladesh's vulnerable and marginalized children and raise awareness about their...

View Article

Russia given suspended disqualification and hefty fine for fan violence at...

Europe's governing football body has said Russia will be disqualified from Euro 2016 if there are further issues with crowd violence. The decision follows fan clashes at a match between Russia and...

View Article

AUDIO: Vipaumbele vya Waziri wa Mambo ya ndani hivi hapa

News Category: Tanzania Wanaofanya biashara ya dawa za kulevya watafute kazi nyingine SIKILIZA HAPA CHINI Wanaofanya biashara ya dawa za kulevya watafute kazi nyingine

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>