Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live
↧

Kipigo chama la Ali Kiba chamuibua kocha Biashara United

Kocha wa Biashara United,Hitimana Thiery amesema kuwa licha ya kufanyiwa figisu na waamuzi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu juzi dhidi ya Coastal Union kwa kukataa bao lao hawakati tamaa badala yake...

View Article


MWENYEKITI HALMASHAURI IGUNGA AKAMATWA KWA AGIZO LA MAJALIWA

Na MURUGWA THOMAS -TABORA MWENYEKTI wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Peter Onesmo na Ofisa Kilimo, Josea Bwenda, wanashikiliwa na polisi kwa agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,...

View Article


JANUARY: WANAOHARIBU MAZINGIRA NZEGA WAKAMATWE

MAZINGIRA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba, akipanda mti kuunga mkono jitihada za upandaji miti kwa wakazi wa Kijiji cha Nkiniziwa, Wilaya ya Nzega...

View Article

Saratani ya ubongo yamuua mpinzani wa Obama

Ugonjwa wa saratani ‘kansa’ umehitimisha maisha ya Seneta John McCain, shujaa wa vita vya Vietnam ambaye pia aliwahi kuwania urais kipindi cha Barack Obama.

View Article

Mbao FC atuma salamu timu vigogo Ligi Kuu

Baada ya kufunga bao lake la kwanza la Ligi Kuu, Straika wa Mbao FC, Evaligestus Mujwahuki ametamka wazi kuwa sasa kazi imeanza kwake ambapo amesema amejipanga kila mechi atakayocheza lazima atupie...

View Article


UCHAGUZI SIMBA WAZIDI KUNOGA

NA CLARA ALPHONCE WANACHAMA wa Simba wenye vigezo vya kuongoza Klabu hiyo wanatakiwa kujiweka sawa kwani Kamati yao ya Uchaguzi inatarajiwa kukutana leo ili kuweka mambo sawa kwa ajili ya kuanza zoezi...

View Article

BONGO STAR SEARCH IMERUDI UPYA

NA JESSCA NANGAWE LILE shindano la kusaka vipaji vya muziki nchini Bongo Star Search (BSS)linarudi upya kwa kishindo baada ya kushindwa kufanyika mwaka uliopita. Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark,...

View Article

Spider mambo magumu kikapu Mwanza

Spider imeendelea kudhohofishwa kwenye Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza baada ya juzi kuangushiwa kipondo cha pointi 67-52 dhidi ya Cuhas kwenye mchezo uliopigwa katika uwanja wa Mirongo Jijini hapa.

View Article


Zimbabwe election: Mnangagwa sworn in as dispute continues

His inauguration comes a day after his main rival rejected a court ruling upholding the result.

View Article


A Subdued Zimbabwe Inaugurates Mnangagwa Again

Zimbabwe on Sunday inaugurated a president for the second time in nine months as a country recently jubilant over the fall of longtime leader Robert Mugabe is now largely subdued by renewed harassment...

View Article

Jaji kesi ya bilionea Msuya atishiwa kuuawa

Jaji Salma Maghimbi aliyesikiliza kesi ya mauaji ya bilionea Erasto Msuya na kuwahukumu adhabu ya kifo washitakiwa watano, ametishiwa kuuawa na mtu asiyejulikana.

View Article

Cavani, Mbappe, Neymar wanatingisha Ufaransa

Safu ya ushambuliaji ya Paris St-Germain, inayoundwa na Edinson Cavani, Kylian Mbappé na Neymar, inaonekana itakuwa moto wa kuotea mbali msimu huu.

View Article

Michael Owen azichukia siku zake za mwisho

Mshambuliaji mahiri wa zamani wa Liverpool na England, Michael Owen, amesema anazichukia siku zake za mwisho za uchezaji soka na hapendi hata kuzikumbuka

View Article


Chelsea yavunja mwiko, Sarri akiduwaa

Timu ya Chelsea jana ilifanikiwa kuvunja mwiko wa kutoifunga Newcastle United katika mechi za Jumapili kwenye dimba la St James' Park, jijini London.

View Article

Samatta anafunga hadi aibu Ubelgiji

Hilo ni bao la nne kwa Samatta kufunga wiki hii baada ya kufunga matatu Alhamisi iliyopita katika mchezo wa Europa Ligi

View Article


Bobi Wine: Wakili wa mbunge na mwanasiasa 'azuiwa kuingia Uganda'

Wakili wa kimataifa aliyekuwa amepewa kazi ya kumwakilisha mbunge wa Kyadondo Mashariki Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, amezuiwa kuingia nchini humo.

View Article

BOW WOW ADAI ANATENGWA

CALFORNIA, MAREKANI RAPA Shad Moss, maarufu kwa jina la Bow Wow, ametumia ukurasa wake wa Twitter na kudai kwamba, amekuwa mmoja kati ya wasanii ambao wanatengwa na kuchukiwa. Staa huyo ambaye alianza...

View Article


UN: Myanmar army chiefs should face genocide trial

The UN said crimes committed against Rohingya Muslims in Rakhine State amount to the gravest crimes under international law. The report has used some of the strongest language yet on the military...

View Article

Papa Francis atakiwa kujiuzuru

CARLO Maria Vigano, Mjumbe wa zamani wa Vatican amemtaka Papa Francis, Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani kujiuzulu kufuatia kadhia inayoliandama kanisa hilo ya mapadri wake kutuhumiwa kuwafanyia...

View Article

Lugola amweka ndani Mkuu wa kituo cha Polisi

KANGI Lugola Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, amemuweka ndani Ibrahim Mhando, Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kati mjini Mtwara (OCS) kwa kosa la kutowaweka mahabusu watu wanne wanaotuhumiwa kumpa...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live