Some 1,000 firefighters are working to contain wildfires in central Portugal that have already injured eight firefighters and 12 civilians, authorities said Sunday. Portugal's Civil Protection Agency said the fires broke out Saturday across three fronts in the district of Castelo Branco, 200 kilometers (124 miles) northeast of Lisbon, the capital. Firefighters are being supported by 10 firefighting aircraft and hundreds of vehicles.
It's the first major bout of wildfires in Portugal this year. Interior Minister Eduardo Cabrita gave the injury toll Sunday and said authorities are investigating the cause of the blazes.
State broadcaster RTP televised images of flames consuming wooded areas of the rural region that has seen recurrent wildfires in Portugal's hot, dry summer months.
While most of the injured were from smoke inhalation, one civilian was evacuated to a hospital to be treated for burns, according to health authorities.
At least one road was closed and several residents were told to leave their homes. The Portuguese Army deployed a mobile kitchen to help feed those affected by the fire and was using its tracked vehicles to help clear roads for firefighting crews.
In recent years, the country has witnessed some of its deadliest fires on record, with 106 people killed in 2017. That year's death toll prompted the Portuguese government to back stronger firefighting prevention measures, leading to no wildfire deaths in 2018.
↧
1,000 Firefighters Battle Wildfires in Central Portugal
↧
'Stronger Than Ever': India Set for Fresh Moon Launch Attempt
India will make a second attempt Monday to send a landmark spacecraft to the Moon after an apparent fuel leak forced last week's launch to be aborted.The South Asian nation is bidding to become just the fourth nation — after Russia, the United States and China — to land a spacecraft on the Moon.The mission comes 50 years after Neil Armstrong became the first person to step foot on the moon, an occasion celebrated by space enthusiasts globally on Saturday.The fresh launch attempt for Chandrayaan-2 — Moon Chariot 2 in some Indian languages including Sanskrit and Hindi — has been scheduled for 2:43 pm (0913 GMT) on Monday, the Indian Space Research Organisation (ISRO) said."Chandrayaan 2 is ready to take a billion dreams to the Moon - now stronger than ever before!" it said on Thursday.The first launch attempt was scrubbed just under an hour before the scheduled lift-off because of what authorities described as a "technical snag." Local media, citing ISRO officials, said that issue was a fuel leak.The agency tweeted Saturday that a rehearsal for the launch was completed successfully.Chandrayaan-2 will be launched atop a Geosynchronous Satellite Launch Vehicle (GSLV) MkIII, India's most powerful rocket.Experts said setbacks were to be expected in such missions given their complexity, and that it was more prudent to delay the launch instead of taking risks that may jeopardise the project."In such an ambitious and prestigious mission like Chandrayaan, one cannot take a chance even if a small flaw is detected," Rajeswari Pillai Rajagopalan, head of space policy at the New Delhi think tank the Observer Research Foundation, told AFP.Former NASA scientist Kumar Krishen said India's space agency should be praised for taking on ambitious projects like Chandrayaan-2."We should keep in mind that space exploration is risky as many systems have failed in the past and many lives lost," he told AFP.National prideAside from propelling India into rarefied company among spacefaring nations, Chandrayaan-2 also stands out because of its low cost.About $140 million has been spent on preparations for the mission, a much smaller price tag compared with similar missions by other countries -- whose costs often run into billions of dollars.Chandrayaan-2, and India's space program as a whole, are a source of national pride in India.Prime Minister Narendra Modi has outlined an ambitious plan to launch a crewed space mission by 2022, and India hopes to seek out commercial satellite and orbiting deals.The new mission comes almost 11 years after the launch of India's first lunar mission — Chandrayaan-1 — which orbited the Moon and searched for water.The rocket carrying Chandrayaan-2 will launch from the Satish Dhawan Space Centre at Sriharikota, an island off the coast of the southern state of Andhra Pradesh.The spacecraft will carry an orbiter, lander and a rover, which has been almost entirely designed and made in India.The orbiter is planned to circle the Moon for about one year, imaging the surface and studying the atmosphere.The lander, named Vikram, will head to the surface near the lunar South Pole carrying the rover. Once it touches down, the rover will carry out experiments while being controlled remotely by ISRO scientists.It is expected to work for one lunar day, the equivalent of 14 Earth days, and will look for signs of water and "a fossil record of the early solar system".
↧
↧
Kipa Shikalo atua Dar aifuata Yanga Moro
Ujio wa kipa Farouk Shikalo kunaifanya sasa Yanga kukamilisha idadi kamili ya wachezaji wake wa kigeni.
↧
Lufthansa Resumes Flights to Cairo after Safety Pause
Lufthansa has resumed flying to Cairo following a one-day suspension due to safety concerns.The German airline's website shows LH582 took off from Frankfurt after an almost two-hour delay and was expected to arrive in Egypt's capital later Sunday.On Saturday, British Airways announced the suspension of its flights to and from Cairo for seven days for unspecified reasons related to security.British Airways attributed its cancellations to what it called its constant review of security arrangements at all airports, calling them "a precaution to allow for further assessment."Lufthansa said it was suspending its flights as a precaution, mentioning "safety" but not "security" as its concern.Company spokespeople would not elaborate on what motivated the suspensions.
↧
US Secretary of State Pompeo blames Cuba, targets Mexico
On a visit to Latin America, the US' top envoy has blamed Cuba for propping up the Venezuelan regime. Moving on to Mexico the focus is on trade and migrants, a day before a key trade deadline.
↧
↧
TAG yaadhimishia miaka 80, Majaliwa awapa neno
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amelipongeza Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) kwa kuthamini na kutambua kazi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano.
↧
Jinsi majeshi ya Iran yalivyikamata meli ya Uingereza
Meli kwa jina Stena Impero ilikuwa ikisafiri majini ikiwa na bendera ya Uingereza
↧
Iran yakamata meli ya mafuta: Sauti yabaini majibizano kati ya wanajeshi wa Iran na wale wa Uingereza
Sauti zilizorekodiwa zimebaini majibizano makali kati ya wanamaji wa Uingereza na wanajeshi wa Iran waliokua ndani ya meli ya kijeshi, muda mfupi kabla ya meli ya mafuta iliokuwa na bendera ya Uingereza kukakamtwa
↧
Britain Drafts Plans to Sanction Iran in Tanker-Quarrel
British officials are drawing up plans to target Iran with sanctions for its seizing of a British-flagged oil tanker in the Strait off Hormuz, and it may urge European Union countries to reimpose sanctions that were lifted in 2016 as part of Tehran’s agreement to curb its nuclear program.The British government is under strong pressure from lawmakers to act decisively in the sharply escalating diplomatic quarrel between the two countries, but there’s growing domestic criticism in the House of Commons about the lack of naval protection for British tankers in the Strait.The outgoing British Prime Minister, Theresa May, is being blamed by some parliamentarians and military officials for failing to agree to a system of joint naval patrols the U.S. was urging Britain and other European navies to establish with American forces. Downing Street took the view that if Britain joined an American-proposed “coalition off navies” it would be seen as endorsing President Donald Trump’s hard-line, sanctions-led approach to Iran, say British and U.S. officials.British defense minister Tobias Ellwood told British broadcasters Sunday that Downing Street is is looking at imposing sanctions against Iran over the seizing of the British-flagged and Swedish-owned Stena Impero and its 23-strong crew. Sanctions could include the freezing of Iranian asset. Asked about sanctions, Ellwood said: “We are going to be looking at a series of options.”On Sunday, too, new audio recordings were released of the Iranian Revolutionary Guard and the Royal Navy both giving instructions to to the Britain-flagged tanker, with the Iranians ordering the vessel’s captain to change course. One Iranian officer can be heard saying, “If you obey, you will be safe.”A British officer from the frigate HMS Montrose can be heard saying, “This is British warship F236. I reiterate, that as you are conducting transit passage in a recognized international strait, under international law your passage must not be impaired, impeded, obstructed or hampered.”FILE - In this image from file video provided by UK Ministry of Defence, British navy vessel HMS Montrose escorts another ship during a mission to remove chemical weapons from Syria at sea off coast of Cyprus in February 2014.HMS Montrose was an hour away from the tanker as it was being swarmed by agile, high-speed Iranian small boats and a helicopter.Later the British officer can be heard demanding from the Iranians in a dueling conversation to “please confirm that you are not intending to violate international law by unlawfully attempting to board the MV Stena.”The British-registered ship's crew is made up of Indian, Latvian, Filipino and Russian members.As reports emerged in London of likely British retaliation, the Iranian ambassador to Britain, Hamid Baeidinejad, took to Twitter to warn the British not to escalate the quarrel. UK government should contain those domestic political forces who want to escalate existing tension between Iran and the UK well beyond the issue of ships. This is quite dangerous and unwise at a sensitive time in the region. Iran however is firm and ready for different scenarios.— Hamid Baeidinejad (@baeidinejad) July 21, 2019The European Union has warned the seizing of the British-flagged tanker “brings risks of further escalation.” But some European officials are critical of the British for the impounding of an Iranian tanker loaded with oil destined for Syria in the waters off Gibraltar earlier this month, saying while it was a legal seizure, it wasn’t “politically smart.”Iran suggested the seizing of the Stena Impero was in retaliation for Britain’s detaining of the Iranian-owned Grace 1 tanker — despite initially claiming the British-flagged vessel was diverted and seized because it collided with an Iranian fishing boat. A spokesperson for Iran's Guardian Council said “the rule of reciprocal action is well-known in international law.”FILE - A Royal Marine patrol vessel is seen beside the intercepted Grace 1 super tanker in the British territory of Gibraltar, July 4, 2019.Iranian officials appeared to be trying Sunday to exploit divisions between the EU and Britain over the Gibraltar incident. Iran’s foreign minister, Mohammad Javad Zarif, again reiterated Tehran’s contention that the U.S. had pushed Britain into a confrontation with Iran, blaming mainly U.S. national security adviser John Bolton. Make no mistake: Having failed to lure @realDonaldTrump into War of the Century, and fearing collapse of his #B_Team, @AmbJohnBolton is turning his venom against the UK in hopes of dragging it into a quagmire. Only prudence and foresight can thwart such ploys.— Javad Zarif (@JZarif) July 21, 2019As British officials consider their next moves, a former head of the Royal Navy, Lord West, blasted Theresa May’s government, for failing to protect British tankers in the Strait of Hormuz.Writing in Britain’s Observer newspaper, he said the government should have done much more to protect British ships, arguing that those responsible were distracted by the race between Boris Johnson and the current British foreign secretary Jeremy Hunt to succeed May as prime minister. That race concludes Tuesday, with Johnson seen as the probable victor.Lord West urged the new prime minister to ignore Brexit and focus fully on the crisis or risk a descent into war.On Saturday, Hunt, the foreign secretary, said he’d spoken to his Iranian counterpart, to express “extreme disappointment” over Iran’s actions. Hunt said the tanker had been seized in Omani waters in “clear contravention of international law”, and denounced the tanker’s detention as “totally and utterly unacceptable.”There is growing concern in London, too, about whether Johnson is up to the task of handling the rapidly escalating crisis. A former British foreign secretary, Margaret Beckett, said it was a dangerous moment: “This is a critical test for the new prime minister which will put him and his team on their mettle.”Alistair Burt, another former foreign office minister, says Johnson would already have had enough major problems to contend with, including Brexit, without the confrontation in the Strait of Hormuz. But now he will have “a fully formed international crisis sitting in the in-tray marked Iran.”FILE - Campaigners hold posters of jailed British-Iranian woman Nazanin Zaghari-Ratcliffe at the Iranian Embassy in London on February 21, 2018.Johnson was strongly criticized for his handling when foreign secretary of the Iranian imprisonment of Nazanin Zaghari-Ratcliffe, a British-Iranian woman and media worker for Reuters, who Iran detained, accusing her of spying. Her family say Johnson worsened her plight by misspeaking by saying she was in Iran working as a journalist, when in fact she was in the country to visit family.
↧
↧
Germany's India envoy visits 'Nazi-inspired' Hindu group
Ambassador Walter J Lindner's visit to the headquarters of the Rashtriya Swayamsevak Sangh has stirred a controversy in India. Experts say the Hindu extremist group glorifies Adolf Hitler and his "cultural nationalism."
↧
Saudi Arabia: Pop music gains a political conscience
International pop music is hugely popular in the Gulf monarchy. But should international stars shun the country because of its poor record on human rights?
↧
Jinsi majeshi ya Iran yalivyoikamata meli ya Uingereza
Meli kwa jina Stena Impero ilikuwa ikisafiri majini ikiwa na bendera ya Uingereza
↧
Alichokisema Bashe Baada ya Kuteuliwa Kuwa Naibu Waziri
Naibu Waziri wa Kilimo mteule, Hussein Bashe ameahidi kuiboresha sekta ya kilimo kwa kuwa ndiyo sekta iliyoajiri Watanzania wengi na kuchangia pato la taifa kwa asilimia kubwa licha ya changamoto nyingi.Aidha, amemshukuru Rais Magufuli kwa kumteua kushika nafasi hiyo. Bashe ameteuliwa kushika nafasi hiyo leo Jumapili Julai 21, akichukua nafasi ya Innocent Bashungwa mbaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.Kupitia ukurasa wake wa Twitter leo saa chache baada ya kuteuliwa, Bashe ameandika ujumbe wa shukrani kwa Rais Magufuli akishukuru kwa kumteua na ameupokea uteuzi huo.“Ndugu zangu awali nimshukuru Allah kwa yote , namshukuru kwa dhati Mh Rais kwa Imani yake, ni jukumu zito nimelipokea kwa uwezo wa Allah tutavuka ni ‘sector’ iliyoajiri Watanzania wengi na changamoto nyingi nawashukuru Watanzania, wananchi wa Nzega na kwa dhati chama changu,” ameandika Bashe.Aidha, pamoja na uteuzi huo wa Bashe, Rais Magufuli pia amemteua aliyekuwa Waziri wa Tawala za Mikoa (Tamisemi), George Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, akichukua nafasi ya January Makamba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
↧
↧
Nec Kuanza Uboreshaji Wa Daftari La Kudumu La Wapiga Kura Julai 31, Mkoani Simiyu
Na Stella Kalinga, SimiyuTume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuanza rasmi zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Simiyu kuanzia Julai 31, 2019 hadi Agosti 06, 2019.Akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi mkoani Simiyu, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage amesema Tume imekamilisha maandalizi ya uboreshaji daftari ambayo ni pamoja na kuhakiki vituo vya kujiandikisha, uandikishaji wa majaribio, maandalizi ya vifaa vya uboreshaji daftari, mkakati wa elimu kwa mpiga kura na uzinduzi wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.Amesema uboreshaji huu hautawahusisha wapiga kura wote walioandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura mwaka 2015 bali utawahusu wapiga kura wapya ambao wametimiza miaka 18, wale ambao watatimmiza.umri wa miaka 18 siku ya uchaguzi Mkuu mwaka 2020, ambao wamehama katika maeneo ya awali ya uchaguzi na wale ambao kadi zao zimeharibikaKatika hatua nyingine Jaji Kaijage ametoa rai kwa wananchi wote wenye sifa kujitokeza kwa wingi ili kuboresha taarifa zao, huku akitoa wito kwa viongozi wa vyama vya siasa, kuzingatia sheria za uchaguzi na kanuni zake katika zoezi hili la uboreshaji na maelekezo kwa Vyama vya Siasa kuhusu uboreshaji.Kwa upande wake Afisa TEHAMA Mwandamizi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Frank Mhando amesema Tume imefanya uhakiki wa vituo vya uandikishaji ambavyo vimeongezeka kutoka 36,549 mwaka 2015 hadi 37,407 mwaka 2018 (Tanzania Bara), upande wa Tanzania Zanzibar vimeongezeka kutoka 380 mwaka 2015 hadi 407 mwaka 2018; huku akifafanua kuwa katika uandishaji huu kila Kijiji au Mtaa utakuwa na angalau Kituo kimoja cha kujiandikisha.Naye Mratibu wa Zoezi la Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Mkoani Simiyu, Bw. Maganga Simon amesema mkoa umejiandaa vizuri ili kufanikisha zoezi ambapo wananchi wenye sifa zaidi ya 700,000 wanatarajia kuandikishwa katika daftari hilo huku akiwasisitiza viongozi wote mkoani hapo kuwahamasisha wananchi wenye sifa kujitokeza kujiandikisha.“Mkoa wetu ni mwenyeji wa Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka2019, tutatumia fursa hiyo kuhamasisha, kutakuwa na bango kubwa litakaloonesha kuwa kuanza Julai 31 hadi Agosti 6 2019 mkoa wetu utashiriki kikamilifu kwenye zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na Simiyu tumejipanga kufanikisha zoezi hili ambalo linasimamiwa na Tume ya Taifa ya uchaguzi” alisemaAkizungumza kwa niaba ya watu wenye ulemavu, Katibu wa Chama cha Viziwi (CHAVITA) Mkoa wa Simiyu, Alex Benson amewaomba viongozi wa vyama vya siasa kuwapa fursa watu wenye ulemavu kuwania nafasi mbalimbali, huku akisisitiza wasimamizi kupewa mafunzo ya lugha ya alama ili kurahisisha mawasiliano na watu wenye ulemavu pindi wanapoenda kujiandikisha na kupiga kura.Naye Dora Stephano kutoka katika ASASI za kiraia amesema Tume ione uwezekano wa kuongeza ushirikishwaji wa asasi za kiraia nyingi zaidi, ili kuongeza wigo wa kutoa elimu kwa wapiga kura juu ya masuala mbalimbali ya uandikishaji na uchaguzi.Mkutano wa wadau wa uchaguzi mkoani Simiyu, umewahusisha Mratibu wa Uandikishaji wa Mkoa, Viongozi wa Vyama vya siasa Viongozi wa dini, wawakilishi wa watu wenye ulemavu, wawakilishi wa vijana, wawakilishi wa wanawake, wawakilishi wa asasi za kiraia, watendaji wa Tume na waandishi wa habari.MWISHO
↧
Mwanamke ajitoa muhanga na kuua watu tisa Pakistan
DERA, Pakistan
Watu
tisa wamefariki na wengine 30 kujeruhiwa nchini Pakistan baada ya mwanamke mmoja
kujitoa muhanga na kujilipua kwa bomu nje ya hospitali moja nchini humo.
Tukio
hilo limetokea leo Jumapili Julai 21, wakati majeruhi kadhaa wa shambulio la
awali dhidi ya polisi wakifikishwa hospitalini hapo.
Ofisa Mwandamizi
wa Jeshi la Polisi wa jimbo la Dera Ismail Khan, Salim Riaz Khan, amethibitisha
kutokea tukio hilo ambapo amesema watu hao walijeruhiwa na mtu mwenye silaha
aliyekuwa katika pikipiki alipofyatua risasi katika makazi ya polisi na kuwauwa
wawili.
Ofisa
huyo amesema katika tukioa la kujitoa muhanga mwanamke huyo askari polisi wengine
wanne na raia wawili walifariki.
Aidha kundi
la wapiganaji la Taliban, limedai kuhusika na shambulio hilo ingawa halijasema
kuwa mwanamke ndiye aliyehusika na mashambulizi na katika miaka ya hivi
karibuni, jeshi la Pakistan limekuwa likiendesha operesheni kabambe dhidi kundi
ya kundi hilo na makundi mengine ya
wapiganaji katika eneo la mpaka wake na Afghanistan.
↧
Waziri Lugola, Zungu Wafanya Operesheni Kuwasaka Mateja Bonde La Jangwani Jijini Dar Es Salaam, Rpc Ilala Apewa Agizo Zito
Na Felix Mwagara, MOHA. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amefanya operesheni ya kuwasaka na kuwakamata mateja mbalimbali ambao wanatumia dawa za kulenya na kufanya uhalifu katika bonde la Jangwani, Ilala, jijini Dar es Salaam. Lugola ambaye aliongozana na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azan Zungu, kuwasaka mateja hao ambao wanatumia aina mbalimbali ya madawa ya kulenya, baada ya kuona viongozi hao wanawasaka walikimbia katika maeneo ya vijiwe vyao. Waziri Lugola wakati akiwa katika operesheni hiyo ambayo ilidumu kwa saa moja na nusu kwa kutembelea mitaa mbalimbali ya bonde hilo, alimpigia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala-RPC, ACP Zuberi Chembera, kufika katika eneo hilo huku akiwa na askari kwa ajili ya kuendeleza zoezi hilo. Akizungumza na wananchi wa Kata hiyo ya Jangwani, leo, Waziri Lugola alisema wahalifu hawa wanapaswa kusakwa kwa nguvu zote na kukamatwa, kwasababu walishampora mtu katika mitaa hiyo na kumuaa. “RPC kuanzia muda huu, nakuagiza askari wako waingie mitaani, kuwakamata wahalifu hawa, na nitakuja saa 12 jioni ya leo, kuona wahalifu wote katika bonde hili wamejaa katika kituo cha Msimbazi, na muwakamate wahalifu na sio kuwaonea watu wasiokuwa na makossa,” alisema Lugola. Lugola aliongeza kuwa, Serikali haiwezi kukaa kimya kufumbia macho matukio ya kiuhalifu ambayo yamekithiri katika eneo hilo na kuwafanya wananchi kutopata usingizi kuhofia kuvamiwa kwa muda wowote usiku au mchana. Alimtaka Kamanda wa Polisi Mkoa huo, kuendelea kufanya operesheni ya mara kwa mara kuwasaka wahalifu hao ambao wengi wao ni mateja ambao wanatumia dawa za kulevya. Kwa upande wake Mbunge Zunge, ambaye ndio alimwita Waziri huyo kutembelea eneo hilo kuona kero kubwa awanazopata wananchi wake, alisema wahalifu hao hawatoki pekee katika Jimbo lake, bali wengi wao wanatoka maeneo mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam. “Wenyeji wa eneo hili ni wachache, wengi wanatoka mitaa mbalimbali ya hapa Dar es Salaam ikiwemo Temeke na kwingineko, hivyo mheshimiwa Waziri tunajua utendaji wako, tunakuomba hii kero inatuumiza sana, wananchi wanakosa amani kutokana na uwepo mkubwa wa wahalifu hawa,’ alisema Zungu. Waziri Lugola alisema Dkt John Magufuli anawataka wananchi wake waishi kwa amani na utulifu, yeye Waziri hatakubali kuona matukio hayo ya baibu yakishika kasi mitaani. Aliwataka Makamanda wa Polisi nchini kuwasaka wahalifu muda wowote si mpaka yeye atoe agizo au atembeleee.
↧
SOS Méditerranée resumes Mediterranean migrant rescues
SOS Méditerranée restarts work off Libya with a new vessel, after the last one was forced to stop.
↧
↧
Taifa Stars ya Ndayiragije fresh, makundi AFCON mipango tu!
Moja ya mikakati hiyo ni benchi hilo jipya la ufundi lililoteuliwa chini ya Kocha Etienne Ndayiragije ni kufanya mabadiliko ya kikosi chake kwa kupunguza baadhi ya nyota waliokuwemo na kuongeza baadhi ambao hawakuwemo kwenye kikosi kilichoshiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).
↧
Balozi Seif azungumza na jumbe wa Viongozi Waandamizi kutoka Jimbo la Zhejing Nchini Jamuhuri ya Watu wa China
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kushoto alisema akipokewa na Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa kutoka Jimbo la Zhejing Nchini China katika Hoteli ya Park Hayart Shangani kwa Mazungunzo. Balozi Seif kati kati akiuongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo na Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa kutoka Jimbo la Zhejing Nchini China katika Hoteli ya Park Hayart Shangani Balozi Seif akisisitiza jambo wakati akiendelea na mazungumzo na Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa kutoka Jimbo la Zhejing Nchini China, kushoto yake ni Waziri wa Biashara Balozi Amina Salum Ali. Kiongozi wa Ujumbe huo wa Viongozi Waandamizi kutoka Jimbo la Zhejing Nchini China ambae pia ni Mwenyekiti wa Jimbo hilo Bibi Ge Huijun akielezea azma ya Wawekezaji wa Jimbo lake kutaka kufungua milango ya Uwekezaji Visiwani Zanzibar.Balozi Seif kulia akimpatia zawadui ya Kasha Mwenyekiti wa Jimbo la Zhejing Nchini China Bibi Ge Huijun mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Park Hayart Shangani Mjini Zanzibar.Picha na – OMPR – ZNZ.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Zanzibar inahitaji Utalii wa daraja la kwanza utakaokwenda sambamba na miundombinu ya Viwanda katika muelekeo wake wa kuimarisha Uchumi utakaoustawisha maisha ya Wananchi na kuongezeka kwa Mapato ya Taifa.Alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliamua kuelekeza nguvu zake katika sekta hizo ili kuondokana na utegemezi wa zao moja la Karafuu lililotegemewa kwa karne kadhaa zilizopita ambapo liliwahi kutetereka katika soko la Dunia ndani ya Miaka ya Tisini.Balozi Seif Ali Iddi alitoa Kauli hiyo wakati akizungumza na Ujumbe wa Viongozi Waandamizi kutoka Jimbo la Zhejing Nchini Jamuhuri ya Watu wa China ukiongiozwa na Mwenyekiti wake Bibi Ge Huijun hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Park Haryat Shangani Mjini Zanzibar.Alisema Sekta ya Utalii Zanzibart tayari imeanza kuleta matumaini makubwa kutokana na kukuwa kwa Uchumi na Mapato ya Taifa sambamba na kustawisha Maisha ya Wananchi kunakotokana na ongezeko la Watalii wanaotembelea Visiwa vya Zanzibar.Balozi Seif alisema ujio wa Viongozi hao Waandamizi wakiwemo Wakurugenzi wa Taassisi tofauti pamoja na Makampuni ya Miradi ya Kiuchumi ya Jimbo hilo utaongeza chachu kwa Watalii wa Nchi hiyo la Bara la Asia kupanga ratiba zao za matembezi Visiwani Zanzibar.Alisema zipo Fukwe adimu kupatikana katika maeneo mengine Duniani, vivutio vya Utalii, Rasilmali za Baharini pamoja na Utamaduni wa asili vinavyotoa ushawishi kwa muwekezaji ye yote kuitumia fursa hiyo ya soko la Utalii katika Kuwekeza Miradi ya Hoteli.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliipongeza China kwa uamuzi wake wa kushirikiana na Mataifa ya Bara la Afrika katika azma ya kusaidia kunyanyuwa hali za Kiuchumi za Mataifa hayo yaliyobarikiwa kuwa na Rasilmali nyingi am,bazo bado hazijatumika ipasavyo.Balozi Seif alisema Makampuni na Taasisi za Uwekezaji za Majimbo mbali mbali Nchini China yanaweza kulitumia Soko la Afrika Mashariki na Mataifa yaliyopo Mashariki na Kusini mwa Bara la Afrika katika kuwapatia huduma za msingi Wakaazi wake wanaokaridiwa kufikia Milioni Mia Tatu.Alisema hilo soko la pamoja la Afrika Mashariki lakini bado halijeweza kukidhi yale mahitajio halisi kutokana na kukosekana kwa Taalamu na mbimu kwenye masuala ya Uwekezaji Vitega Uchumi na matokeo yake baadhi ya bidhaa hadi sasa zinatoka nje ya maeneo hayo.Mapema Kiongozi wa Ujumbe huo wa Viongozi Waandamizi kutoka Jimbo la Zhejing Nchini China ambae pia ni Mwenyekiti wa Jimbo hilo Bibi Ge Huijun alisema Rasilmali ya Asili inayopatikana Visiwani Zanzibar inawahamasisha Wawekezaji wa Jimbo lake kutaka kuwekeza Zanzibar.Bibi Ge Huijun alimueleza Balozi Seif kwamba Wawekezaji wa Jimbo lake wako tayari kuwekeza Miradi yao katika mfumo wa kubadilishana uzoefu katika Miradi ya Kiuchumi na Biashara katika dhana ya kuimarisha uhusiano wa miaka mingi uliopo kati ya China na Tanzania na Zanzibar kwa jumla.Alisema katika mikakati miyo itayoanza kufanyiwa kazi mara moja Sekta ya Uitalii itapewa msukumo wa kipekee na kutiliwa mkazo utakaowahusisha Watalii kutoka China kufanya ziara za kimatembezi moja kwa moja hadi Tanzania na Zanzibar.Mwenyekiti huyo wa Jimbo la Zhejing alimuhakikishia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kwamba China kupitia mpango wake wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Biashara na Afrika itaendelea kuongeza nguvu kadri mazingira yatavyoruhusu ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.Ujumbe huo wa Viongozi 15 Waandamizi kutoka Jimbo la Zhejing Nchini Jamuhuri ya Watu wa China ukiongiozwa na Mwenyekiti wake Bibi Ge Huijun upo Nchini Tanzania kwa ziara ya Siku Nne kutembelea maeneo mbali mbali ya Kiuchumi Historia na Biashara.Jamuhuri ya Watu wa China imekuwa mshirika mkubwa wa Tanzania katika nyanja mbali mbali tokea Miaka ya 60 mara baada ya kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi ya Zanzibar ya Mwaka 1964.
↧
Mahujaji watarajiwa Zanzibar wapatiwa mafunzo ya kutekeleza ibada ya Hijja
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Ayoub Mohammed Mahmoud akifunguwa Semina ya Mahujaji na Maimamu wa Misikiti katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Zanzibar. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waislamu wa dhehebi la Shia Tanzania (TMSC) Shekh Ramadhan Ali akitowa shukurani kwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Ayoub Mohammed wakati wa Semina ya Mahujaji na Maimamu wa Misikiti katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Zanzibar (kulia) ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Thaqalain Salum Abbas. Baadhi ya Washiriki waliohudhuria Semina ya Mahujaji na Maimamu wa Misikiti katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Zanzibar. Mahujaji watarajiwa Zanzibar wapatiwa mafunzo ya kutekeleza ibada hiyo Picha na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.Na Ali Issa Maelezo Zanzibar. Waislamu nchini wametakiwa kutekeleza ibada ya hijja kwakila mmoja mwenye uwezo kwani hija ni nguzo muhimu na ni moja kati ya nguzo tano za Uislamu.Hayo yameelezwa leo katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Unguja na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Ayoub Mohammed Mahmoud wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Mahujaji na Maimamu wa Miskiti Zanzibar,yalio andaliwa na jumuiya ya kislamu wa Mashia Tanzania.Amesema Hija ni jambo muhimu kwa kila Muislamu mwenyeuwezo wa hali na mali hivyo ipo haja kutekeleza ibada hiyo ya nguzo ya tano katika Uislam.Amesema iwapo wenye uwezo wa fedha na kiafya watashindwa kufanya ibada hiyo wajue wanafanya makosa kwani hija ni nguzo inayo mlazimu Muislamu kuitekeleza kwa vitendo.Hata hivyo alisema Waislamu wanawajibu wa kufanya hija japo mara moja ndani ya umri wake iwapo amejaliwa kuwa na vigezo vinavyo stahiki ikiwemo uwezo, afya na mali.Aidha alisema Waislamu wafanye hima kuitekeleza kwani Allah akiikubali hija yake na akadumu katika matendo mema mtu huyo malipo yake ni pepo.“Iwapo Mtu atakubaliwa hija yake na allah na akadumu katika kufanya mema hadi kufa kwake mtu huyo malipo yake ni pepo”alisema Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Ayoub Mohammed Mahmoud.Akielezea zaidi alisema suala la amani katika nchi ni muhimu hivyo ipo haja ya wananchi kuwamakini kuituza na kuunganisha nguvu zao katika misingi ya dini ili waweze kumtumikia allah kwa wepesi zaidi.Akizungumzia vitendo vibaya vya uzalilishaji wa watoto na vijana vinavyo favywa na baadhi ya viongozi wa kidini na viongozi wa kitaifa alisema ni jambo moja baya sana kwani linawapotezea heshima utu wao na kuwafanya kutoaminika na jamii.Alisema wapo baadhi ya watu wanatumiwa vibaya kuiharibu jamii yao kwa udhalilishaji wa kingono, kuwabaka watoto kwa kuwalaghai kwa thamani ndogo isio ya kibinadamu.Vile vile alisema Mkoa wa Mjini magharibi utachukua hatua kali kwa watu hao bila ya kuoneana haya kwa kufuata sheria na miongozo iliopo.Nae mwenyekiti wa Jumuiya ya Waislamu wa Shia Tanzania Sheikh Ramadhani Ali Mwelekwa alitoa neno la shukurani kwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Ayoub Mohammed Mahmoud na kuomba ushirikiano wa kitaifa pale pakitokea shughuli za kiserikali.Aidha alisema kuwa Jumuiya yao inatumika kwa kufanya masuala mbali mbali yakiwemo elimu,masuala ya kiafya na maji kwa kutoa huduma kwa jamii ya kitanzania.Mwenyekiti huyo alimshukuru mkuu wa mkoa kwa kukubali kuungana nao katika mafunzo ya mahujaji na maimamu wa misikiti Zanzibar.IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR.
↧