Pope John Paul (RIP). Vijana wa dunia yake aliwaita “Kizazi cha CCN”. Kafariki miaka 14 iliyopita (Aprili, 2005) akiwa na miaka 84, JK akiwa kwenye fainali ya kuingia Ikulu ya Magogoni. Si vibaya kizazi cha sasa kwa Bongo, tukakiita kizazi cha Jakaya. Kuna toleo la viumbe uzao wa binadamu kuanzia 2006 kuja juu. Acha tu.
↧