Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Britons set to protest against Johnson's Brexit move

London. Demonstrations are expected across Britain on Saturday against Prime Minister Boris Johnson's move to suspend parliament in the final weeks before Brexit.

View Article


Kesi Ya Vigogo CHADEMA Yapigwa Kalenda

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,  jana ilishindwa kuendelea na ushahidi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, akiwemo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, kutokana na wakili wa...

View Article


Nitasikitika sana kufa na kumbukumbu nyingi sandukuni

Sina maelezo kwa nini nilianza tabia ya kukusanya picha na hadithi za wanamuziki toka nikiwa na umri mdogo, nilijikuta tu nikihakikisha nakusanya picha za magazetini na picha kamili kwa miaka mingi.

View Article

Miss tz 2006, walikula maharage ya wapi?

Pope John Paul (RIP). Vijana wa dunia yake aliwaita “Kizazi cha CCN”. Kafariki miaka 14 iliyopita (Aprili, 2005) akiwa na miaka 84, JK akiwa kwenye fainali ya kuingia Ikulu ya Magogoni. Si vibaya...

View Article

HEKAYA ZA MLEVI: Bingwa wa macho hatibu sikio

Mbwa ana mambo ya ajabu kidogo. Kwanza inasemekana anaona rangi mbili tu, nyeusi na nyeupe. Panapo kiza yeye huona vitu vyote kuwa vyeupe, na kwenye mwanga huviona kwa rangi nyeusi. Ajabu yake ya pili...

View Article


Mwanaume asulubiwa kama Yesu baada ya kuunga mkono chama tawala

Polisi nchini Uganda inachunguza kisa cha mwanamume mmoja aliyeshambuliwa kisha kupigiliwa mismari katika msalaba.

View Article

Maajabu Mabingwa Ulaya

HABARI ndiyo hiyo. Kila mtu ashajua anacheza na nani kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya droo ya makundi kupangwa huko Monaco, Ufaransa juzi Alhamisi.

View Article

Namba 7 ina gundu Man U

MANCHESTER United hatimaye imefanikiwa kumwondoa kwa muda kwenye kikosi chake supastaa Alexis Sanchez.

View Article


Mechi za kibabe Ligi Kuu England

KESHO Jumapili ni Arsenal na Tottenham Hotspur kwenye Ligi Kuu England. Bonge la mechi linalohusu mahasimu wawili wa huko London ya Kaskazini. Arsenal na Spurs zinapokutana, basi panachimbika.

View Article


Zambian opposition leader denies defaming president

A leader of Zambia's opposition denied defamation charges in court on Friday after being arrested for a video in which he allegedly refers to President Edgar Lungu as a dog.

View Article

India citizenship lists: Nearly 2 million face statelessness

An effort by the state of Assam to tackle illegal immigration dating back five decades has identified 1.9 million people who are ineligible for Indian citizenship. Critics say the list discriminates...

View Article

Pacha wa Kagera watenganishwa kwa Sh bilioni 1.1

AVELINE KITOMARY-DAR ES SALAAM PACHA  waliougana Anisia na Melnes Bernard,  wamewasili jana katika uwanja wa ndege wa Julius  Nyerere jijini Dar es salaam  wakitokea nchini  Saudi Arabia baada ya...

View Article

Aussems aibua jambo Simba

THERESIA GASPER-DAR ES SALAAM KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amefurahi na kusema wachezaji wake walicheza kama watoto, licha ya ushindi wa mabao 3-1 ilioupata timu yake dhidi ya JKT Tanzania...

View Article


Yanga kupanga mauaji ya Zesco Mwanza

MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM KIKOSI cha Yanga, kinatarajia kwenda Mwanza, Septemba 4 mwaka huu, kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo wao wa raundi ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi...

View Article

Mo Dewij awaomba msamaha Mashabiki wa Simba

Muwekezaji wa simba SC  Mohamed Dewij amefunguka na kuonyesha jinsi alivyoumizwa na matokeo mabaya ya timu ya Simba dhidi ya wapinzani wao kutoka Msumbiji UD Songo katika michuano ya klabu bingwa...

View Article


Fitina kali inayomzunguka Ousmane Dembele

NILIKWENDA Barcelona Mei mwaka huu. Niliwahi kuandika hapa nikakuta mashabiki wa Barcelona hawampendi Philippe Coutinho lakini wanampenda staa mwingine wa timu hiyo, Ousmane Dembele. Wote hawa walikuwa...

View Article

Casillas aipinga tuzo ya Lionel Messi, amtaja Iniesta

Katika toleo lililopita mwandishi Luca Caioli alizungumzia tukio la Messi kutwaa tuzo ya kwanza ya Ballon d’Or lilivyokuwa na kugusia kidogo madai kwamba tuzo hiyo ilitakiwa kwenda kwa staa mwenzake wa...

View Article


At U.S.-Mexico Border, Africans Join Diversifying Migrant Community

VOA's Ramon Taylor contributed to this report.SAN ANTONIO, TEXAS — It took Julia and her two daughters five years to get from Kassai, in the Democratic Republic of Congo, to a cot on the floor of a...

View Article

Aussems acharuka Simba

NA WINFRIDA MTOI LICHA ya kuanza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKT Tanzania, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, bado anaumiza kichwa juu ya kikosi chake. Simba iliibuka na...

View Article

MAJALIWA AKUTANA NA KAMISHINA WA UNHCR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamishina Mkuu wa UNHCR, Filippo Grand kabla ya mazungumzo yao kwenye kituo cha maonyesho cha Pacifiko Yokohama nchini Japan, Agosti30, 2019. Mheshimiwa...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>