Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

'Mwenyezi Mungu kamkubali Magufuli'

$
0
0
KATIBU wa Mila wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Mwanasimtwa Mwagongo amesema tukio la kupatwa kwa jua linalotarajiwa kutokea leo katika Kijiji cha Rujewa wilayani hapa ni ishara ya Mwenyezi Mungu kuukubali uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783