Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Ndalichako awafunda wahitimu JKT

$
0
0
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amesema ili Tanzania iwe miongoni mwa nchi zenye ushindani kwenye elimu duniani, juhudi zaidi zinahitajika kukuza na kusimamia kiwango chake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783