RAIS John Magufuli amesema hatavumilia aina yoyote ya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa sababu amekula kiapo cha kulinda amani na utulivu kwa maslahi ya wananchi wa Tanzania, hivyo katika kipindi cha uongozi wake wa miaka mitano atahakikisha kipaumbele cha kulinda amani na kuimarisha Muungano ndiyo dira na mwongozo.
↧