Sitavumilia chokochoko – Magufuli
RAIS John Magufuli amesema hatavumilia aina yoyote ya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa sababu amekula kiapo cha kulinda amani na utulivu kwa maslahi ya wananchi wa Tanzania, hivyo katika kipindi cha...
View ArticleWanawake waongoza utoroshaji dhahabu, tanzanite
SERIKALI imebaini kuwa asilimia kubwa ya madini aina ya tanzanite na dhahabu yanatoroshwa nchini na wanawake ambao huyavaa kwenye maeneo tofauti mwilini na kusema ni mapambo hivyo wanapopita kwenye...
View ArticleSMZ yaridhishwa utendaji wa Magufuli
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imeridhishwa na utendaji kazi wa Rais wa Muungano, John Magufuli katika kuimarisha Muungano kwa maslahi ya wananchi wa pande mbili.
View ArticleMjane auawa, anyofolewa viungo
MJANE mwenye umri wa miaka 46, Veronica Dala ameuawa na watu wasiofahamika kwa kukatwa na mapanga mwilini. Aidha mjane huyo amenyofolewa baadhi ya viungo vya mwili wake.
View ArticleBAADA YA NGASA KUTUA BONGO ATARUHUSIWA KUSAJILIWA IKIWA DIRISHA LA USAJILI...
Baada ya Mrisho Ngasa kukanyaga ardhi ya Tanzania maswali kwa wadau wa soka yamekuwa ni kutaka kujua kama mchezaji huyo wa zamani wa Yanga ataruhusiwa kujiunga na klabu yoyote itakayomuhitaji. Sports...
View ArticleVOA Somali Town Hall: President Tells US Teen It's Safe to Visit
Answering a U.S. teenager's question about vacationing safely in Somalia, President Hassan Sheikh Mohamoud said, "You can come back to Mogadishu — nothing will happen to you." Mohamoud answered...
View ArticleYanga yaipania Ndanda
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm, amejigamba kuwa kikosi chake kipo vizuri kuikabili Ndanda kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara utakaochezwa Uwanja wa Nang'wanda Sijaona Mtwara.
View ArticleStars yatota Nigeria, Manula ang’ara
TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ jana ilimaliza mechi zake za Kundi G kuwania kufuzu fainali za Afrika zitakazofanyika Gabon mwakani kwa kufungwa bao 1-0 na Nigeria ‘Super Eagles’.
View ArticleMbeya City yaibamiza Mbao
TIMU ya Mbeya City ya Mbeya jana ilitoa kipigo cha mbwa mwizi kwa Mbao FC iliyopanda daraja baada ya kuichakaza kwa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba hapa.
View ArticleSimba yainyoosha Polisi Dodoma
TIMU ya soka ya Simba jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuifunga Polisi Dodoma mabao 2-0.
View ArticleBiashara yadorora, wakumbuka Bunge la 10
Wafanyabiashara mjini hapa wamelalamikia kudorora kwa biashara ya vyakula tofauti na Bunge lililopita la 10.
View ArticleInvesting in the youth to curb poverty
IN order to realise the opportunity of a demographic dividend, Tanzania must invest in its young people. Access to family planning for young people is key to enabling the requisite shift in the...
View ArticlePrecarious balance in family planning and development
WHEN you talk about family planning to most Tanzanian men, a vivid picture of a heavily pregnant, tired looking woman with a toddler strapped on her back comes into mind.
View ArticleMsalaba Mwekundu watinga kwa JPM
Wanachama wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) wamepanga kuishtaki bodi ya chama hicho kwa Rais John Magufuli, kwa madai ya kuuza sehemu ya jengo la Viva Tower na fedha za mauzo hayo kutumiwa...
View ArticleMakonda: ‘Naoga matusi’ kuhusu Bakwata
Zikiwa zinakaribia wiki tatu tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda aahidi kujenga ofisi za kisasa za Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), amesema uamuzi wake umezidi kuibua vita...
View ArticleBunge laikaanga TPA, TRA
Kamati ya Bunge ya Viwanda Biashara na Mazingira, imezishukia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kupungua kwa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam.
View ArticleMerkel defends record on regional election eve
Germany's Mecklenburg-West Pomerania regional election will be a "very tight race," Chancellor Angela Merkel has conceded. Surveys indicate that her local CDU could even be outpaced by the upstart...
View ArticleMimba 51 zabainika madarasani
Wanafunzi 74 wamesimamishwa masomo katika shule mbalimbali za sekondari na msingi Manispaa ya Dodoma, kutokana na kupata mimba, huku Mkuu wa wilaya hiyo, Christina Mndeme akisema wametoa picha mbaya ya...
View ArticleVIONGOZI TFF, VILABU, WALIPA KISOGO KONGAMANO LA SOKA DAR
Kongamano kwa ajili ya kujadili matatizo na maendeleo ya soka la Tanzania ambalo linafanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam, limeanza leo katika uwanja wa taifa chini ya maandalizi ya Jukwaa la...
View ArticleVOA Somali Town Hall Connects Minnesota and Mogadishu
President Hassan Sheikh Mohamoud answered questions about terrorism and the Somali diaspora in a town hall hosted by VOA's Somali service Saturday. The program is the first of its kind to connect...
View Article