SERIKALI imebaini kuwa asilimia kubwa ya madini aina ya tanzanite na dhahabu yanatoroshwa nchini na wanawake ambao huyavaa kwenye maeneo tofauti mwilini na kusema ni mapambo hivyo wanapopita kwenye mashine za ukaguzi katika viwanja vya ndege huwa vigumu kubaini kama ni utoroshaji.
↧