Maeneo ya mwambao wa pwani nchini Tanzania,kama vile Tanga, kwa muda mrefu yamekuwa yakisifika kwa kudumisha utamaduni wa kiswahili hasa katika mavazi, vyakula na mengineyo.Lakini katika miaka ya hivi karibuni, utamaduni huo umepata changamoto ya kupotea haswa baada ya kuingia kwa utamaduni wa Kimagharibi.
↧