Mwishoni mwa miaka ya 1970 na miaka ya 1980, Waafrika wengi walikimbilia Ulaya kutafuta maisha kwa kile walichodai hali ngumu. Wapo waliodiriki kuteka hata ndege waende Ulaya, wapo waliokuwa wakishinda bandarini kwenye nchi zenye bandari kusubiri meli ili wazamie.
↧