Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Exports to Germany fall by 30pc

Tanzania exports to Germany dropped by 30 per cent last year compared to the previous year, following the decrease of raw materials and exports from the mining sector.

View Article


Joshua kuzipiga Wembley Stadium

Bondia bingwa wa Dunia uzito wa juu duniani, Anthony Joshua wa Uingereza, amesaini mikataba miwili ya kuzipiga kwenye uwanja wa Wembley, nchini Wales.

View Article


Barcelona yamtosa Paulinho

Klabu ya Barcelona ya Hispania, imewastusha wengi baada ya kumrudisha Guangzhou Evergrande kiungo wake wa kibrazil, Paulinho, iliyemsajili kiangazi cha mwaka jana.

View Article

Sijatenda haki najiuzulu – Hierro

Shirikisho la soka Hispania, limemshukuru aliyekua Kocha wa muda wa timu ya Taifa, Fernando Hierro aliyejizulu wadhifa huo juzi, akisema anawajibika kwa  kushindwa kuipa mafanikio katika fainali za...

View Article

#WC2018: Penalti zavunja rekodi Russia

Fainali za Kombe la Dunia zimefika hatua ya nusu fainali baada ya timu nne kukata tiketi.

View Article


Chanjo ya Ukimwi yaanza kutoa matumaini

Chanjo ya HIV ambayo ina uwezo wa kuwalinda watu duniani dhidi ya virusi hivyo imeonyesha matumaini jambo ambalo limetoa matumaini kuhusiana na harakati za kukabiliana na virusi vya ugonjwa huo.

View Article

#WC2018: Modric asema Russia habari nyingine

Wakati Croatia ikitarajiwa kuvaana na England katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia, Luka Modric amesema mechi ya juzi usiku dhidi ya Russia ilikuwa ya aina yake.

View Article

#WC2018: Neymar abadili gia, amgeukia Mungu

Baada ya kuondolewa katika Fainali za Kombe la Dunia, mshambuliaji nyota wa Brazil, amesema ni Mungu pekee anayeweza kumpa nguvu ya kurejea uwanjani akiwa kwenye kiwango bora.

View Article


#WC2018: Kilichoipeleka nusu fainali England hiki

Kocha wa England, Gareth Southgate amesema mafanikio ya timu hiyo katika Fainali za Kombe la Dunia, yametokana na ujasiri wa wachezaji.

View Article


#WC2018: Ishu zenu za mademu huko huko, wao soka tu

WAKATI ule mtindo wa wanasoka mastaa wa kutoka na warembo wanamitindo au waigizaji ukionekana kubamba zaidi, utashangaa kuna wanasoka wengine wao wala hawangaiki na mapenzi.

View Article

#WC2018: Hadi utamu wa Russia utakapoisha kitakuwa kimeeleweka

FAINALI za Kombe la Dunia kule Russia zimebakiza mechi nne tu kufika tamati na klabu za Ligi Kuu England zimeshaanza kujifua kwa ajili ya msimu ujao.

View Article

#WC2018: Rais wa Croatia apagawa russia

USIKU wa juzi Jumamosi ulimwengu wa soka ulishuhudia maajabu ya soka. Nguvu ya imani, ndoto na umoja unavyoweza kufanya kazi kwa pamoja na kuleta mafanikio hata pale inapoonekana kutokuwepo kabisa.

View Article

#WC2018: Russia kimewaka

RUSSIA hakueleweki. Kumetibuka. Kesho Jumanne na keshokutwa Jumatano zitapigwa nusu fainali mbili kutoka katika timu nne ambazo tayari zimeshangaza kufikia hatua zilizofikia mpaka sasa.

View Article


Jhpiego takes male circumcision message to legislators

A campaign to prevent the spread of HIV in Tanzania through male circumcision reached Members of Parliament (MPs) recently, thanks to an initiative by Jhpiego.

View Article

Sagcot urged to find solution to farmers issues

The Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania (Sagcot) has been urged to collaborate with other stakeholders to find a lasting solution to challenges raised during the just ended annual review...

View Article


Shughuli ya uokoaji wa watoto waliokwama pangoni yang'oa nanga Thailand

Watoto wanne wameokolewa wakiwa hai kati ya 12 waliokwama ndani ya pango lililojaa maji huko nchini Thailand,huku jitihada za uokoaji zikiwa zimesitishwa kwa muda katika kazi hiyo inayotajwa kuwa ni...

View Article

Haiti civil unrest continues despite fuel hike rollback

Looters burned and vandalized shops in the Haitian capital Port-au-Prince as protests over fuel price rises entered a third day. Several US church groups and volunteers are stranded with most flights...

View Article


Sura ngumu za askari wa Russia zilivyolainika

Jiji la Moscow limepokea mashabiki na wageni zaidi ya milioni moja kwa ajili ya fainali za Kombe la Dunia zinazotamatika wiki ijayo tu.

View Article

Russia: Tumeng’olewa kishujaa Kombe la Dunia

Russia ambayo awali haikupewa nafasi ya kutamba katika Fainali za Kombe la Dunia imeondolewa kwa penalti, lakini kocha Stanislav Cherchesov, amesema wameng’olewa kishujaa.

View Article

UFARANSA VS UBELGIJI: Watoto wa wazamiaji waliotoka Afrika

Mwishoni mwa miaka ya 1970 na miaka ya 1980, Waafrika wengi walikimbilia Ulaya kutafuta maisha kwa kile walichodai hali ngumu. Wapo waliodiriki kuteka hata ndege waende Ulaya, wapo waliokuwa wakishinda...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>