Aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa cha Hombolo(LGTI), Emanuel Gibali na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa kosa la kupokea rushwa ya Sh 12.4 milioni kutoka Manispaa ya Morogoro.
↧