KESI inayowakabili viongozi wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imeanza kunoga baada ya Katibu Mkuu wa sasa wa Shirikidho hilo, Wilfred Kidao kutoa ushahidi akiieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, tangu awe Mjumbe wa Kamati ya Utendaji mwaka 2013- 2017 hajawahi kuona maombi kuhusu TFF kukopeshwa fedha na mtu binafsi.
↧