Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Wapinzani, Maalim Seif lao moja

Baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed kumkataza Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuzungumza misikitini kwa kuwa anakiuka utaratibu,...

View Article


Vigogo kortini wakidaiwa kuomba rushwa

Vigogo watatu wa  Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),  akiwamo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji,  Ephraim Mgawe (62) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya DB Shapriya and Company Ltd, Kishor Shapriya (60)...

View Article


Wataka maofisa polisi wawajibishwe

Wakazi wa mji wa Himo wilayani Moshi, wamehoji hatua ya polisi kutowawajibisha maofisa wake wawili wanaohusishwa na mtandao wa wizi wa magari.

View Article

Wasomi wanena uchaguzi wa mameya Dar

Baada ya kuibuka malumbano katika  uchaguzi wa meya Manispaa za Kinondoni na Ubungo baina ya CCM na vyama vinavyounda Ukawa, wasomi wameshauri kanuni zibadilike ili wanaochagua meya wawe madiwani wa...

View Article

Hotuba ya mke wa rais Kenyatta kuhusu watoto

Kenya's first lady Margaret Kenyatta

View Article


Pakistan officians: Many killed in police center attack

Several militants stormed a police academy in southwestern Pakistan, killing at least 40 people and injuring some 100 more. Baloch separtists and Islamic militants are active in the region.

View Article

mchakato wa mabadiliko ya soka wapitishwa

Mambo 10 yamepitishwa kwenye kongamano la mabadiliko ya uendeshaji wa klabu za soka nchini ambalo pia limeridhia mchakato wa mabadiliko ya soka ingawa kwa sharti kwamba yafanyike kwa haki.

View Article

Uchaguzi RT Novemba

Wakati fomu za kuwania uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) zikianza kutolewa leo, kwenye Shirikisho la Riadha (RT) mambo yamebadilika baada ya kamati tendaji kuamua uchaguzi huo ufanyike...

View Article


Prisons kusaka washambuliaji

Benchi la Ufundi la klabu ya Tanzania Prisons limesema  kuna tatizo kubwa kwenye safu yao ya ushambuliaji na katika usajili wa dirisha dogo wanatarajia kufanya mabadiliko ya maana zaidi kwenye safu hiyo.

View Article


Wajasiriamali 280 kukutana Pwani

Wajasiriamali 280 kutoka mikoa ya Kanda ya Mashariki, wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya tisa yatakayofanyika wilayani Bagamoyo, Pwani. 

View Article

DC aliyeshurutisha wananchi kulipa michango afuta amri yake

Mkuu  wa Wilaya ya Manyoni, Geoffrey Mwambe amefuta amri ya kutaka wananchi kuchangia maendeleo baada ya kutakiwa kufanya hivyo na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mathew Mtigumwe.

View Article

Polisi yakemea wavamizi wa migodi

Kahama. Polisi mkoani Shinyanga imeonya wachimbaji wadogo wa madini wanaovamia maeneo yanayomilikiwa kihalali na watu wengine.

View Article

Msikiti mkubwa kujengwa Dar

Dar es Salaam. Mfalme Mohammed VI wa Morocco, amezindua ujenzi wa msikiti mkubwa jijini Dar es Salaam utakaokuwa na uwezo wa kuchukua waumini 6,000 kwa wakati mmoja.

View Article


Zimbabwean Scientists Unveil Maize Seeds Resistant to Heat, Drought

Scientists in Zimbabwe say they have developed new heat- and drought-tolerant varieties of maize that may be ready for sale ahead of the next planting season. The seeds from the International Maize and...

View Article

Venezuela's congress puts Maduro on trial

Opposition-controlled parliament in Venezuela has launched a political trial against President Nicolas Maduro for breaking constitutional order. In turn, the president accused the lawmakers of a...

View Article


Turkey detains co-mayors of mainly Kurdish city of Diyarbakir

The co-mayors of Diyarbakir, known as the "capital" of the mainly Kurdish southeast of Turkey, have been detained on charges of aiding militants. It is part of a crackdown after a year of violence and...

View Article

WWF now involves stakeholders to address illegal fishing

Dar es Salaam. Illegal fishing is still one of the major threats to the marine industry, says WWF, a global non-governmental organisation, as it involves different stakeholders to protect marine species.

View Article


Samsung kuwafidia walionunua Galaxy Note 7

Kampuni ya Samsung Afrika Mashariki (SEEA) imeahidi kuwabadilishia au kuwarudishia gharama zao wateja wote walionunua simu aina ya  Samsung Galaxy Note 7.

View Article

Serikali yatafiti hali ya upatikanaji umeme

Kigoma. Wakala wa Umeme Vijijini (Rea)  kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inafanya utafiti kuhusu hali ya upatikanaji wa nishati nchini.

View Article

Selfie blackmail

Smartphones and social media are colliding with notions of honour and shame in conservative societies - with devastating effects on the lives of some young women.

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>