Upinzani Tanzania watishia kumshtaki rais Magufuli ICC
Polisi katika kisiwa cha Pemba visiwani Zanzabar nchini Tanzania imepinga vikali kuwa inavunja haki za binadamu kwa kuwatesa na kuwashikilia wapinzani.
View ArticleFisi waua na kula mtu Nairobi
Fisi wanakisiwa kumuua mwananme mmoja na kisha kula sehemu kubwa ya mwili wake nchini Kenya, kwa mujibu wa chifu wa eneo hilo.
View ArticleIstanbul reels from suicide bomb attacks
The clean-up continues at Istanbul's Ataturk airport after assailants detonated explosives claiming at least 41 lives in a city caught up in a spate of terror attacks. Tom Stevenson reports from Istanbul.
View ArticleQuick Rocka atamani Kajala kuingia kwenye fani hii….
June 29, 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, msanii wa Bongofleva, Quick Rocka...
View ArticleRussia, Turkey agree to 'reinvigorate' relations after diplomatic row
Both countries' presidents have decided to meet in person after Turkey downed a Russian warplane near its border with Syria. The Russian president announced the removal of travel restrictions to Turkey.
View ArticleVIDEO: Kabla ya robo fainali ya Euro 2016, tazama magoli bora yaliofungwa...
Imebaki siku moja tu michuano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama Euro 2016 hatua ya robo fainali ianze, najua tayari umeshazifahamu timu 8 zilizofanikiwa kufika katika hatua ya robo fainali itakayoanza...
View ArticleMoi yasitisha usafishaji wa vidonda
Kitengo cha Upasuaji wa Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi) kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kimesitisha usafishaji wa vidonda kuanzia Julai Mosi.
View ArticleProfessor aliyebeba mtoto mgongoni apata sifa
Professor mmoja wa chuo kikuu amesifiwa pakubwa nchini Ivory Coast kwa kumbeba mtoto wa mmoja wa wanafunzi wake mgongoni wakati wa masomo.
View ArticleUingereza yazuiwa kuhudhuria mkutano wa EU
Uingereza imezuiwa kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya Ulaya ambapo itakuwa mara ya kwanza kufanyiwa hivyo kwa miaka 40.
View ArticleNINAVYOJUA : Hapa ndipo Yanga ingenufaika na Dk Tiboroha
HAKUNA ubishi Yanga ni moja kati ya klabu kongwe Afrika, pia itaendelea kubaki kuwa ni miongoni mwa timu kubwa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwa vigezo vyote.
View ArticleBao la Mazembe limeanika tatizo sugu Yanga
JUZI Jumanne, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ulifurika mashabiki wa soka waliofika kuishangilia timu ya Yanga iliyokuwa ikiumana na TP Mazembe ya Congo DR.
View ArticleBlack Coffee wa BET kufanya kazi na Alicia Keys
Black Coffee NEW YORK, MAREKANI MSHINDI wa tuzo ya Black Entertainment Television (BET), barani Afrika, Nathi Maphumulo maarufu kwa jina la Black Coffee, amepata dili la kufanya kazi na msanii wa...
View ArticleConservative German politicians consider Berlin's best Brexit approach
Savings, not more money from Germany, should make up the EU budget gap after the UK leaves the bloc, Bavaria's finance minister said. Former Chancellor Kohl added that Brussels needs to pause before...
View ArticleIbuprofen inaweza kupunguza makali ya Ebola
Dawa ya maumivu Ibuprofen na dawa ya kutibu saratani Toremifene zinaweza kukata makali ya virusi vya ugonjwa wa Ebola ,watafiti wamesema.
View ArticleAfisa Mdjhamini, Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba...
ALIEKUWA Mkuu wa Idara ya maendeleo ya wanawake na watoto kutoka wizara ya wanawake na watoto Pemba, ambae kwa sasa ni Mkuu wa wilaya ya Chakechake Salama Mbarouk Khatib, akizungumza kwenye hafla ya...
View ArticleRapper Darasa mbele ya waandishi wa habari June 30, 2016….
Ni June 30, 2016 ambapo rapper kutoka Bongoflevani, Darasa anayetamba na wimbo uitwao Heya Haye alikutana na waandishi wa habari kwaajili ya kuzinduzi single yake mpya iitwayo Too Much. Wimbo huo mpya...
View ArticleBoris Johnson says he will not run to replace British Prime Minister Cameron
Ever the showman, Boris Johnson called it the "punchline" when he announced he could not be the person to lead the UK. A unifying figure was needed for the country, he said, and "that person cannot be...
View ArticleHuawei’s Seeds for the Future an eye opener: Faith
FAITH Assenga’s innovative interest pushes her to enter into telecoms engineering field. And her dream of becoming an engineer, in a field dominated by men in the country, is just few months ahead.
View ArticleMshambuliaji wa kujitolea mhanga aua watu 10 Cameroon
Mshambuliaji wa kujitolea mhanga amewaua karibu watu 10 karibu na msikiti mmoja kaskazini mwa Cameroon.
View Article