Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Kagame: ICC inaihujumu Afrika

$
0
0
PAUL Kagame, Rais wa Rwanda amesema hana mpango wakujiunga na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kwa madai ya kuundwa kisiasa, anaandika Wolfram Mwalongo. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuhitimisha Baraza la Taifa la Umushirikiano (NUC) amesema, ICC imekuwa ikishiriki katika kuihujumu Afrika. Na kwamba, mahakama hiyo imeshindwa kuangazia viongozi wa ...

Viewing all articles
Browse latest Browse all 132783

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>