Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Ivory Coast votes in poll likely to bolster President Ouattara

Voters in Ivory Coast are set to elect their parliament in a political field dominated by President Ouattara. The president has received praise for the country's economic progress but criticism for his...

View Article


MWENYE SIFA HIZI HAKUPENDI, UNAPOTEZEWA MUDA – 2

KUWA na mpenzi pekee hakuwezi kuwa na maana ikiwa mpenzi wako anakutesa na kukunyima furaha maishani mwako. Raha ya mapenzi ni kufurahia, ikiwa unahisi mateso na maumivu kila siku, inakupasa ufikiri...

View Article


WANASOKA WETU WAJIFUNZE KWA KINA NDIKUMANA, NONDA SHABANI

NA JUMA KASESA, BUJUMBURA WAKO wapi Emmanuel Gabriel, Nico Nyagawa, Mussa Hassan Mgosi, Victor Costa ‘Nyumba’ na wengineo ambao walicheza na straika Mrundi Selemani Ndikumana wakati ule wa kikosi cha...

View Article

Mpiganaji wa IS awaua wanajeshi 40 Yemen

Mshambuliaji wa kujitolea kufa katika mji wa bandarini Aden amewauwa wanajeshi 50 na kuwajeruhi wengine wengi

View Article

CCM TUMEWASIKIA, KIVULI KINAWATISHA

KILA kinachoangaziwa na mwanga duniani lazima kiwe na kivuli ambacho huakisi umbile lake kutokana na mwelekeo unakotoka mwanga unaokimulika. Kisayansi kuna aina tatu kuu za vivuli, kilichokoza (Umbra)...

View Article


WATAFUNA NCHI WATADHIBITIWA KWA MWENDOKASI?

Na Dennis Luambano, Dar es Salaam HAKUNA ziada mbovu. Kwa sababu watu mbalimbali wakiwamo wanaharakati na wanasiasa wamepaza sauti zao na kuelezea namna wajanja wachache wanavyojitajirisha kwa njia za...

View Article

TUWE MAKINI NA HOMA YA ZIKA

WIKI hii kumejitokeza kile unachoweza kukiita kukinzana kuhusu kuwapo au kutokuwapo kwa ugonjwa wa homa ya zika nchini. Virusi vya ugonjwa huo tayari vimeleta hofu kubwa katika nchi za Amerika ya...

View Article

Report: Buses enter Syria's Aleppo for new evacuation push

Vehicles have started entering the last rebel-held corner in Aleppo, preparing to resume aborted evacuations, media say. A fragile deal would see rebels leave Aleppo as regime supporters escape other...

View Article


Naibu waziri abaini madudu miradi ya maji

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Isack Kamwelwe amebaini miradi ya maji kutoka wilaya za Korogwe hadi Handeni kutumia fedha nyingi huku ikiwa haina kiwango wala tija kwa wananchi.

View Article


China, Tanzania waendeleza ushirikiano

Halmashauri ya Jiji la Arusha imesaini mkataba wa makubaliano (Mou) wa mwaka mmoja na Serikali ya Jimbo la Huangshi, China ili kufungua fursa za kilimo, biashara, sayansi na teknolojia.

View Article

Mkurugenzi TPA alia na wanasiasa

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Deusdedit Kakoko amedai kuwa kuna wanasiasa wamekuwa wakimtisha asitekeleze majukumu yake aliyopewa na Rais John Magufuli ya kuiboresha mamlaka.

View Article

Wakulima walalama Simanjiro

Wafugaji wa Kijiji cha Kiruani Kata ya Msitu wa Tembo, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wamelalamikiwa kuingiza mifugo kwenye mazao na kuzua mgogoro baina yao na wakulima.

View Article

ADHABU ZA WATOTO ZISITOLEWE ADHARANI

HATUA za makuzi anazozipitia  mtoto  ni wazi kuwa yapo makosa ambayo anayafanya na kuhitaji kukanywa kama motto, pia vipo vitu ambavyo anapaswa aelekezwe. Mtoto anapokosea mzazi  unapaswa  kutumia...

View Article


WAPO NA WENGINE SI DANGOTE TU

Na Markus Mpangala NAANDIKA safu hii nikiwa safarini mkoani Ruvuma katika Kijiji cha Amanimakolo kilichopo Wilaya ya Mbinga. Eneo la Amanimakolo ndicho kiini cha makusanyo ya makaa ya Mawe chini ya...

View Article

CCM YA MAGUFULI KUFUNGA MKANDA UKAZE NA KAMBA

NA EVANS MAGEGE CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), chini ya uongozi wa Rais John Magufuli kinajidhihirisha sasa kuingia kwenye mlengo mgumu zaidi dhidi ya maisha ya mazoea ambayo yametawala fikra za Wana-CCM...

View Article


Debutants Guinea Bissau name preliminary Nations Cup squad

Nine new players are named by Guinea Bissau in a preliminary squad of 35 for next month's Africa Cup of Nations as they prepare to make their debut in Gabon.

View Article

Eiffel Tower reopens after workers' strike

France's most famous landmark, the Eiffel Tower in Paris, has resumed operations after its 300-strong workforce settled a row with the management. Up to 20,000 people per day visit the tower during the...

View Article


At least 48 dead in Yemen suicide bombing

The suicide bomber's target was a group of soldiers gathered outside an army base. It is the second such attack on the same base in under a week.

View Article

Kagame: ICC inaihujumu Afrika

PAUL Kagame, Rais wa Rwanda amesema hana mpango wakujiunga na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kwa madai ya kuundwa kisiasa, anaandika Wolfram Mwalongo. Akizungumza na waandishi wa habari...

View Article

Dk. Shein atibua msikitini, mabomu yarindima

KUTAJWA kwa jina la Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein ndani ya msikiti uliopo kwenye Kijiji cha Kangagani, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba kumesabisha vurugu, anaandika Faki Sosi. Waumini...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>