Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) imeipatia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa Sh360 bilioni, kwaajili ya kuchangia Bajeti kuu ya Serikali katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2016/2017 pamoja na kuongeza mtaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini(TADB).
↧