Game of Thrones, OJ Simpson drama and Veep score big at Emmys
Game of Thrones became the most decorated Drama series in US history when it snared its 38th Emmy in just six seasons. The People v O.J. Simpson, a dramatization of the athlete's double murder trial,...
View ArticleJPM to skip session of UN General Assembly
President John Magufuli will not attend the 71st United Nations General Assembly meeting in New York this week because of the Kagera earthquake disaster.
View ArticleTetemeko lawalaza mapadri kwenye magari Bukoba
Mapadri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kashozi, Jimbo la Bukoba wanalala kwenye magari baada ya nyumba walizokuwa wakiishi kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea wiki iliyopita.
View ArticleMarekani yachunguza kubaini walioshambulia New York
Wachunguzi mjini New York wanafuatilia ushahidi kubaini kuhusu ni nani alitega bomu lililolipuka katika wilaya ya Chelsea huko Manhattan siku ya Jumamosi usiku.
View ArticleMichezo ya Paralimpiki yafungwa kwa mbwembwe
Mashindano ya Olympic kwa walemave mjini Rio De Jeneiro, yamalizika kwa shamrashamra mbalimbali.
View ArticleChama tawala cha Putin Urusi chaongoza uchaguzi wa bunge
Chama cha rais Vladimir Putin wa Urusi, kimepata ushindi mkubwa katika chaguzi za bunge.
View ArticleBuhari amlaumu mhudumu hotuba kufanana na ya Obama
Rais wa Nigeria Mohammadu Buhari amemlaumu mmoja wa wahudumu wake kwa kuiba sehemu za hotuba ya Rais wa Marekani Barack Obama.
View ArticleChangamoto hizi kwa walimu ni zaidi ya madawati
NA BENJAMIN MASESE KWA muda mfupi aliokaa madarakani, Rais Dk. John Magufuli amejitahidi kufanikisha mkakati wake wa kuwatoa sakafuni hadi kwenye madawati wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchi...
View ArticleMeya Dar awafunda madiwani
NA HADIA KHAMIS -DAR ES SALAAM MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, amewataka madiwani kuhamasisha wananchi washiriki katika shughuli za uchangiaji maendeleo ikiwamo ujenzi wa vyumba vya...
View ArticleSSRA yatoa maelekeo kwa mifuko ya Jamii
Na NORA DAMIAN – DAR ES SALAAM MIFUKO yote ya hifadhi ya jamii imetakiwa kupunguza gharama za uendeshaji. Imesema kuanzia sasa ukomo wa kiwango cha matumizi ya fedha unatakiwa usizidi asilimia 10 ya...
View ArticleRain delay a blessing for Bukoba people
It normally rains each year in September in Bukoba but until yesterday there were no signs of rains. Residents pray that it doesn’t rain altogether — for the earthquake that shook the municipality more...
View ArticleGovt to lease new aircraft to ATCL
Air Tanzania Company Limited (ATCL) will not own the two planes recently purchased by the government for a reported $47 million (Sh103.4 billion), it has emerged.
View ArticleMadereva wasimulia mateso wanayopata safari za DRC
Wakati madereva 10 waliotekwa na wanajeshi waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakipelekwa katika mji wa Kindu kukabidhiwa kwa Serikali za Tanzania na Kenya, wenzao wameeleza mateso...
View ArticleHabari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania September 19 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari...
View ArticleKiwango cha elimu chamshtua RC
Na SARAH MOSES – DODOMA KUTOKANA na kushuka kwa kiwango cha elimu mkoani Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana, ametoa siku 14 za kukutana na wakuu wa wilaya zote, wakurugenzi wote, maofisa...
View ArticleSerikali kuboresha masilahi ya watoa huduma sekta ya afya
Na CLARA MATIMO-MWANZA SERIKALI imeshauriwa kuboresha masilahi ya watoa huduma za afya ili wafanye kazi kwa moyo na kuepuka kukimbilia nje ya nchi kutafuta masilahi mazuri zaidi. Wakizungumza katika...
View ArticleACT all set to hold meeting on Saturday
The Alliance for Change and Transparency (ACT) Wazalendo will hold its national convention next Saturday.
View ArticleLipumba now takes CUF leaders to court
Following allegations that they were involved in an attempt to kidnap the acting deputy secretary general and director of finance and economy of the Civic United Front (CUF), Mr Joram Bashange, three...
View ArticleCCM youth wing leader arrested
The regional chairman of the Chama cha Mapinduzi youth wing (UVCCM) in Arusha, Mr Lengai Ole Sabaya, has been apprehended by the police on alleged forgery of an identity card.
View ArticleAddress challenges facing bodaboda riders, govt urged
The Motorcycle Taxi Operators Association claims that the government will collect a total of Sh2.3 billion per year through tax if it manages to address various challenges its members are grappling with.
View Article