Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Simba yaivaa Ruvu Shooting kibabe

Ruvu Shooting imekuwa na unyonge dhidi ya Simba tangu ilipopanda Ligi Kuu mwaka 2010.

View Article


Yanga Kanyaga twende

YANGA gari ndio limewaka hivyo, watetezi hao wa Ligi Kuu Bara jana kwa mara ya pili mfululizo walipata ushindi katika mechi za ugenini baada ya kuifumua Lipuli ya Iringa, huku kiungo wake fundi, Papy...

View Article


Anapambana kubadilisha fikra za wafungwa nchini

 Anaposema amewahi kufungwa miaka 16 jela kwa kosa la mauaji na ujambazi unaweza usiamini kutokana na mwonekano wake na jukumu kubwa alilobeba la kubadilisha fikra za walimwengu hususani vijana...

View Article

Tunafanya mno yanayotakiwa kufanywa na watoto wetu

Inawezekana sisi sote ni wendawazimu, lakini wendawazimu ambao tumejiweka ukomo wa kiwango cha kuonyesha uwendawazimu wetu; na ndiyo maana inapotokea mtu akafanya kuzidi kiwango tulichojiwekea ni...

View Article

Enock Jonas aja kivingine

Baada ya kubamba kwenye wimbo wa ‘Zunguka Zunguka’ na baadae ‘Kizunguzungu Kimewapata’ mwimbaji wa nyota wa muziki wa Injili nchini, Enock Jonas sasa amekuja kivingine.

View Article


Upo umuhimu wa kulinda na kuheshimu haki za watoto

Ni dhahiri kwamba malezi tuwapatiayo watoto huwa ndiyo msingi wa mustakabali wao. Maisha ya mtu hutegemea sana msingi wa malezi aliyopata tangu angali mchanga.

View Article

Mtanzania Oman alia kipigo cha penalti

KIUNGO wa Kitanzania, Salum Shebe anayeichezea Al-Mudhaibi ya Oman, amesema hawakustahili kuondolewa na Sohar kwenye kombe la mfalme, Sultan.

View Article

Mbio za Nusu Marathoni yafana Zanzibar

Washiriki kutoka ndani na nje ya nchi wakitoana jasho katika mashindano ya nusu Marathoni yaliyofanyika leo Washiriki kutoka ndani na nje ya nchi wakitoana jasho katika mashindano ya nusu Marathoni...

View Article


Mozambique deports 4,000 foreign nationals

 Mozambique authorities deported at least 4,000 foreign nationals in a crackdown against illegal migration in 2017 alone, officials said.

View Article


TSHISHIMBI AWEKA REKODI TATU IRINGA

NA MAREGESI NYAMAKA, IRINGA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Lipuli FC, mchezo uliochezwa Uwanja wa Samora, mkoani Iringa, huku...

View Article

Ecuador votes on term limits to decide ex-president Rafael Correa's political...

A 'yes' vote in a referendum will mean Correa will not be able to join the 2021 election race. Polls show Ecuadorean President Lenin Moreno could spell the political death of his former mentor.

View Article

Shinikizo zaidi lamkabili rais Zuma ajiuzulu

Rais Zuma anakabiliwa na tuhuma za rushwa na jitihada za wapinzani na baadhi ya wafuasi wa ANC wanaotaka kumtimua madarakani.

View Article

VIDEO: Okwi amedaiwa kupoteza fahamu uwanjani baada ya kupigwa kiwiko

Moja kati ya matukio yaliyotokea katika mchezo wa Ligi Kuu kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Simba ni kitendo cha mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kudaiwa kuwa alipoteza fahamu baada ya kupigwa kiwiko...

View Article


VIDEO-Hatimaye Wastara aondoka kwenda India

MSANII  wa filamu, Wastara Juma, ameondoka nchini leo Jumapili kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu na amewashukuru Watanzania kwa kusema, hatawasahau mpaka anakufa.

View Article

VIDEO: John Bocco na Mzamiru Yassin walivyoifungia Simba leo vs Ruvu Shooting

Ligi Kuu Tanzania bara leo Jumapili ya February 4 2018 imeendelea tena wekundu wa Msimbazi Simba wakishuka uwanja wa Uhuru kucheza dhidi ya wenyeji wao Ruvu Shooting katika mchezo wa mzunguuko wa pili...

View Article


Simba wamedhamiria kutwaa taji la VPL kweli !!!!

Ligi Kuu Tanzania bara leo Jumapili ya February 4 2018 imeendelea tena wekundu wa Msimbazi Simba wakishuka uwanja wa Uhuru kucheza dhidi ya wenyeji wao Ruvu Shooting katika mchezo wa mzunguuko wa pili...

View Article

Alliance, Biashara hao ligi kuu

KIKOSI cha Alliance FC cha jijini Mwanza, leo Jumapili kimeweka historia mpya kwenye medani za soka baada ya kufudhu kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao kwa kuilaza JKT Oljoro mabao 2-1.

View Article


Mbao yaichapa Kagera Sugar mabao 2-1

KIKOSI cha Mbao FC, kimeibuka na ushindi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,  baada ya kuitandika Kagera Sugar mabao 2-1, katika mchezo ligi kuu.

View Article

“Kauli zetu zinaweza zisiifurahishe Serikali, hili ni tatizo kubwa” –Hussein...

Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe alisimama Bungeni Dodoma na kuchangia mapendekezo yake katika hoja tatu zilizowasilishwa na Serikali ambazo ni Hoja za kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, hoja ya...

View Article

Waziri mkuu ashauri kuanzishwa taasisi ya watu wenye ulemavu

 Serikali imebariki uanzishwaji wa taasisi ya Dk. Reginald Mengi Disabled Foundation yenye lengo la kusaidia walemavu nchini.

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>