Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Zantel yanogesha tamasha la ‘Full Moon Party’ visiwani Zanzibar

Zantel yanogesha tamasha la ‘Full Moon Party’ visiwani ZanzibarKampuni ya simu inayoongoza visiwani Zanzibar,Zantel,mwishoni mwa wikii hii imefanikiwa kulinogesha tamasha la ‘Full Moon Party’...

View Article


CCM Z'BAR YAPIGA MARUFUKU UVAMIZI WA SHAMBA LAKE KILOMBERO.

Na Is-haka Omar, Zanzibar.                                            CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimepiga marufuku ujenzi holela na kazi mbali mbali za kudumu zinazofanyika katika shamba la...

View Article


VIDEO: ‘Rais Magufuli amesema yeye awe wa kwanza kukatwa kodi’- Waziri Mpango

June 20 2016 bunge la 11 limeiandika headline ya kupitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, bajeti iliyopita mara baada ya wabunge washiriki kupiga kura. Lakini kubwa iliyosikika...

View Article

India unveils sweeping investment reforms

India has announced a broad relaxation of foreign direct investment (FDI) rules in a number of key sectors, including aviation and defense. The move is part of an effort to open up the country's economy.

View Article

Pakistan na Afghanistan wamendelea kuamini ushirikiano wao

Pakistan na Afghanistan katika mazungumzo yao wamerudia tena kwamba “utawala wenye mafanikio kwenye mpaka wao wanaoshirikiana ni muhimu kwa juhudi zinazolenga kupambana na ugaidi, kuhamasisha amani na...

View Article


Bajeti ya Mwaka 2016/17 yapitishwa

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2016/17 imepitishwa na wabunge wote wanaohudhuria kikao cha leo jioni.

View Article

Wabunge Croatia wapiga kura kutaka bunge ivunjwe

Wabunge wa Croatia wamepiga kura leo Jumatatu kutaka kuvunjwa kwa bunge na kutoa njia ya uchaguzi mpya unaotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi Septemba.

View Article

24 wauwawa kwa mlipuko nchini Afghanistan

Milipuko tofauti ya bomu nchini Afghanistan hii leo imeuwa watu wasiopungua 24 na kuwajeruhi kiasi cha 40 wengine. Shambulizi hilo lililosababisha vifo lilitokea mjini Kabul wakati mjitoa mhanga...

View Article


Polisi wazuia mwanafunzi kuozwa

Jeshi la polisi kwa kushirikiana na shirika la Agape mkoani Shinyanga limefanikiwa kuzuia kuozwa mwanafunzi wa darasa sita (16) wa shule ya msingi Mwigumbi katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga...

View Article


Baba adaiwa kumbaka mtoto wake wa miaka mitatu

Jeshi la polisi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga linamshikilia mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Masagala kata ya Maganzo wilayani Kishapu, kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa miaka mitatu na kumsababishia...

View Article

German man sentenced to prison for refugee home attack

A 29-year-old man has been sentenced to three years and three months in prison for an arson attack on a refugee home in the eastern German town of Altenburg. Politically motivated attacks in Germany...

View Article

Siku ya Wakimbizi Duniani

Juni 20 dunia inaadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani.

View Article

Matano ya kufahamu baada ya kadi za UDART kuanza kutumika

Abiria wa mabasi yaendayo haraka Jijini Dar es salaam leo June 20 2016 wameanza kutumia kadi maalumu za kielektroniki badala ya tiketi. Mfumo huu ambao utamuwezesha abiria kuweka fedha katika kadi hio...

View Article


Yuan ya China kutumika rasmi duniani

Sarafu ya China (Yuan) itaanza kutumika rasmi  kwenye soko la duniani Septemba mwaka huu baada ya kuidhinishwa na bodi ya Shirika la Fedha Kimataifa (IFM).

View Article

Kocha wa Dibaba akamatwa Uhispania

Kocha wa mwanariadha wa Ethiopia, ambaye ni bingwa wa dunia wa mita elfu 1500 Genzebe Dibaba, amekamatwa na polisi wa Uhispania.

View Article


EWURA yatoa ufafanuzi taarifa za mafuta ya taa kuadimika

Leo June 2016 baadhi ya magazeti yameibuka na taarifa ambazo imedai kuwa mafuta ya taa yameadimika katika mikoa kadhaa nchini ikiwamo Dar es salaam, Morogoro, Mwanza, Mtwara na Mikoa ya Kanda ya...

View Article

Israel backs Nuclear Test Ban Treaty - with no timeframe for ratification

The test ban treaty was signed by 183 nations in 1996 but is still awaiting ratifiication from eight countries. As a bulwark against Iran Netanyahu is reportedly seeking closer ties with moderate Sunni...

View Article


Bahrain strips senior cleric Isa Qassim of citizenship

Bahrain has stripped a leading Shiite cleric of his nationality after accusing him of attempting to divide society. The move has brought hundreds of protesters into the streets.

View Article

EU strikes blow against illegal wildlife trade

The EU's approval of wildlife trade measures helps even up the battle against a long list of foes: criminal gangs, tribes hunting to feed their families, even corrupt guards supposed to protect animals.

View Article

Non-fasting Muslims arrested in northern Nigeria

The religious police in Kano State have been cracking down on Muslims who fail to fast during the holy month of Ramadan. As DW’s Nasir Zango reports, the suspects could be caned in public if found guilty.

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>