Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

AudioMPYA: Chris Brown kaachia hii single aliyomshirikisha Wizkid…’Shabba’

Najua jina la Chris Brown sio geni masikioni mwa watu wanaopenda muziki, basi leo Julay 1, 2016 huenda ikawa ni good news kwa muziki wa Afrika, baada ya msanii kutoka Marekani Chris Brown kuachia...

View Article


CCM wajitapa kuichukua Longido baada ya uchaguzi

Baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kutengua ushindi alioupata aliyekuwa mbunge wa Longido, (Chadema) Onesmo Ole Nangole, CCM Mkoa wa Arusha wamejitamba kuwa wako tayari kwa uchaguzi bila shaka.

View Article


Joseph Kabila: Uchaguzi utafanyika muda ukifika

Rais Joseph Kabila wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) amesema hakuna kitakachokwamisha kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu unaosubiriwa kwa hamu kubwa nchini humo licha ya kuongezeka kwa hofu...

View Article

Kasembe abwagwa, Cecil mbunge halali Jimbo la Ndanda

Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara, imemthibitisha Cecil Mwambe (Chadema) kuwa ndiye mbunge halali wa Jimbo la Ndanda wilayani Mtwara na kutupilia mbali madai yaliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM,...

View Article

Ukawa katika misukosuko

Bunge la Jamhuri ya Muungano jana lilimalizika kwa wabunge wa vyama vya upinzani kutoka ukumbini kwa staili waliyosema inaonyesha “kifo cha demokrasia”, huku wenzao watatu zaidi wakiadhibiwa kwa makosa...

View Article


Madiwani wataka elimu mifuko ya afya

Diwani wa Kabita, Halmashauri ya Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Joseah Mgema amesema madiwani wanahitaji elimu zaidi ya kuwawezesha kujiunga na mifuko ya bima ya afya kwani wengi wao hawana bima hivyo...

View Article

MCAMEROON AKABIDHIWA RASMI MAJUKUMU YA KUINOA SIMBA

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi kocha wao mpya Joseph Omog kama kocha mkuu wa Wekundu wa Msimbazi baada ya timu hiyo kudumu kwa muda mrefu chini ya Jackson Mayanja aliyeajiriwa kama kocha msaidizi....

View Article

Opinion: Brexit blues and a country in meltdown after referendum

Surprise has turned to shock and utter confusion for many in the UK a week after the British voted to leave the EU. DW's Birgit Maass lives in London and describes her case of the "Brexit blues."

View Article


Vyombo vya habari Kenya vyashutumiwa kuzoretesha maudhui ya jamii

Utafiti wa halmashauri ya mawasiliano nchini Kenya kwa ushirikiano na shirika la utafiti la Momentrum Consulting Africa unaonesha kwamba wakenya saba kati ya 10 wanakhisi kuchukizwa na baadhi ya...

View Article


Euro 2016: Ronaldo na Ureno wajikongoja kuelekea nusu fainali.

Katika mechi kali na ya kusisimua iliyochezwa jana kati ya Ureno na Poland, Ureno wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya michuano ya UEFA EURO 2016 kwa mikwaju ya penati huku mchezaji bora wa Ureno...

View Article

Balozi wa S Leone atekwa nyara Nigeria

Naibu balozi wa Sierra leone nchini Nigeria ametekwa nyara.

View Article

CCM Z'bar yaendelea uhakiki wa mali zake

Na Is-haka  Omar, Zanzibar.CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  kimewataka wananchi wanaoishi katika maeneo yanayomilikiwa na chama hicho kuhakikisha wanafunga mikataba rasmi ili kuepuka usumbufu wakati...

View Article

Mashindano ya Tour de France yaanza

Mashindano maarufu duniani ya baiskeli maarufu kwa jina Tour de France, inaanza hii leo katika eno la Normandy kaskazini mwa Ufaransa.

View Article


US yatoa idadi ya watu waliouawa na ndege zisizo na rubani

Serikali ya Marekani imetoa idadi ya raia waliouawa katika mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani za Kimarekani

View Article

Kigeugeu cha wabunge wa upinzani tangu mwaka 1995-(2)

Tangu Bunge la vyama vingi lianze mwaka 1995 wabunge wa upinzani ambao ni wachache bungeni wamekuwa wanalalamikia kiti cha Spika na kutofautiana naye au kudai wanaburuzwa na wenzao wa CCM.

View Article


UCHAMBUZI: Uhuru wa wapinzani utawala wa JK uliwapa faida gani?

Rais John Magufuli amewataka wanasiasa wa vyama vya upinzani kutomwingilia wakati akitekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

View Article

UCHAMBUZI: Msimamo wa Nyerere na ukombozi wa mwanamke-2

Wiki iliyopita Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kiliandaa kongamano la wanataaluma (Intellectual Festival) juu ya maisha na utumishi wa Mwalimu Kambarage Nyerere. Tamasha hili lilikutanisha...

View Article


Taliban chief: US forces must leave Afghanistan

Newly appointed Taliban leader Haibatullah Akhundzada has used his first public address to call on the US to withdraw from Afghanistan. The militant mullah took charge after his predecessor was killed...

View Article

Australians vote in hotly contested election

Australians have been voting to select their next prime minister. The election has been divisive, with an emphasis on hot-button domestic issues.

View Article

Euro2016: Wales yaibwaga Ubelgiji

Timu ya soka ya Wales iliweka rekodi nzuri usiku wa Jumamosi katika historia ya soka nchini humo walipotoka nyuma na kuishinda Ubelgiji katika michuano ya Euro 2016

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>