Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Crouch amtabiria Sanchez ya Torres

NYOTA wa zamani wa Liverpool na Tottenham Hotspur, Peter Crouch amedai huenda Alexis Sanchez ambaye amejiunga na Inter Milan kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Manchester United  akawa kama  Fernando...

View Article


Dida: Ajikita kwenye biashara zake zimlipe

KWELI  jasili haachi asili, kwani baada ya Deogratius Munish 'Dida' kushindwa kusaini timu yoyote Ligi Kuu ameamua kujikita kwenye biashara.

View Article


Ngassa: Tutafika makundi Ligi ya Mabingwa

WINGA wa Yanga, Mrisho Ngassa amesema malengo yao ni kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hivyo lazima wapambane kuhakikisha wanaifunga Zesco ya  Zambia.

View Article

Zahera akomaa na washambuliaji Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametumia zaidi ya dakika 50 kuipa timu yake mazoezi tofauti ya mbinu za kufunga.

View Article

Ronaldo: Huyu Messi nitapiga naye msosi tu

MONACO, Ufaransa MSHAMBULIAJI wa Juventus, Cristiano Ronaldo, amemmwagia sifa lukuki hasimu wake, Lionel Messi, katika hafla ya upangaji wa makundi Ligi ya Mabingwa Ulaya na ugawaji wa tuzo za Ulaya....

View Article


Wanaomnyatia Lewandowski mtasubiri sana

MUNICH, Ujerumani MSHAMBULIAJI wa Bayern Munich, Robert Lewandowski, amesaini mkataba wa miaka minne utakaomwezesha kudumu klabuni hapo hadi mwaka 2023. Akizungumza baada ya kusaini, mshambuliaji huyo...

View Article

Suarez, De Gea, Carzola, Nadal wamlilia binti wa Enrique

MADRID, Hispania KOCHA wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Luis Enrique, amefiwa na mtoto wake wa kike, Xana Enrique, mwenye umri wa miaka tisa. Taarifa ndani ya familia hiyo...

View Article

Man United, Arsenal zapewa vibonde Europa, Hazard abeba tuzo Ulaya

MONACO, Ufaransa KAMA wanashuka mlimani vile, wanateleza tu! Hii ni baada ya mabingwa wa Europa mwaka 2017, Manchester United, kupangiwa vibonde katika Kundi L, huku wenzao vijana wa Unai Emery,...

View Article


Sanchez atambulishwa Inter Milan

MILAN, Italia STRAIKA mpya wa Inter Milan, Alexis Sanchez, ametambulishwa rasmi kama mchezaji wa Inter Milan, baada ya kujiunga kwa mkopo akitokea Manchester United.  Sanchez alishindwa kuwika katika...

View Article


Wellu Sengo abadili dini

NA SISCA MACHABA (TUDARCo) MWIGIZAJI nyota wa tamthiliya ya Rebecca, Wellu Sengo, amewatangazia mashabiki kuwa amebadili dini kutoka Ukristo na kuingia Uislamu, uamuzi utakaokwenda sambamba na kubadili...

View Article

Hong Kong protesters in fresh standoff with police

Demonstrators went ahead with a banned march to mark the fifth anniversary of Beijing's move to curtail elections. A hardcore of protesters threw petrol bombs at police, who responded with tear gas and...

View Article

Mashindano ya EAGT yazidi kunoga

NA ANNA MAGUHA MASHINDANO ya East Africa Got Talents (EAGT) yameendelea kushika kasi huku washiriki kutoka nchi nne za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda wakiendelea kuonyesha vipaji vyao. Katika...

View Article

2 Million in India's Assam State Face Prospect of Becoming Stateless

About two million people living in India’s northeastern state of Assam face the unnerving prospect of becoming stateless as authorities wind down a mammoth process to identify illegal immigrants....

View Article


PSG yashinda mechi bila ya Neymar, Mbappe, Cavani

Ikiwa haina wachezaji wake nyota, Paris Saint-Germain jana iliwapa nafasi wachezaji wawili walio na umri chini ya miaka 20, lakini ikaibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Metz katika mechi nyingine...

View Article

Watakaobainika kuihujumu Serikali kuzuiwa kwa ndege ya ATCL kushtakiwa

Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas amesema watakaobainika kuihujumu Serikali kuhusu kuzuiwa kwa ndege ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) nchini Afrika Kusini watafunguliwa kesi.

View Article


Maelfu wajazana Uwanja wa Taifa Dar, baadhi wadai kusikia habari za kutolewa...

Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejazana katika Uwanja wa Taifa linakofanyika kongamano la ndoa ya familia, huku baadhi wakieleza kuwa wamefika hapo baada ya kusikia habari kuwa itatolewa...

View Article

DC Nyamongo: Jiungeni CHF ili mnufaike

VUMILIA Nyamoga, Mkuu wa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, amewataka watendaji wa wilaya hiyo kutoa elimu ili wananchi waweze kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Anaripoti Dandosn Kaijage,...

View Article


Tanzania raises alarm as child dies of ebola in uganda

The government yesterday warned of an Ebola threat in the country resulting from cross-border transmission. This comes about following the case of a nine-year-old girl who tested positive for the viral...

View Article

Plug data gap to meet goals on development, government told

Tanzania needs to overcome huge data gaps to meet an ambitious set of global goals to conquer poverty, inequality and other international woes by a 2030 deadline, policy analysts have said.

View Article

Taliban Launch 'Massive Attack' on Afghan City of Kunduz

The Taliban have launched a new large-scale attack on one of Afghanistan's main cities, Kunduz, and taken hospital patients as hostages, the government said Saturday, even as the insurgent group...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>