TASNIA ya burudani imepata janga lingine. Ikiwa zimepita siku sita tu baada ya ajali ya gari iliyochukua uhai wa wanamuziki wawili wa bendi ya Mapacha Watatu na wengine kujeruhiwa, jana alfajiri wasanii wengine wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ wakiongozwa na Luiza Mbutu wamenusurika kifo katika ajali ya gari.
↧