Official calls for sensitisation on club foot
A senior public health official in Kilimanjaro region has called for increased public sensitisation on a deformity known as club foot.
View ArticleSh32b Mererani road to be ready December
Upgrading of the 22 kilometre road linking Mererani gemstone mines to the rest of the country through Kilimanjaro International Airport (KIA) will be complete by the end of this year, it was revealed...
View ArticleWazanzibari watakiwa kusajili ndoa
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, Jaji Mshibe Ali Bakari amewashauri Wazanzibari kusajili ndoa ofisi ya mrajisi ili kupunguza vitendo vya ‘uharamia’ katika ndoa.
View ArticleMadiwani wahofia Sh8 mil za wanafunzi
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani limebaini kuwapo kwa matumizi ya Sh8.1 milioni ya idara ya elimu katika Shule ya Msingi Kiwangwa kwa ajili ya elimu maalumu huku...
View ArticleOpinion: A shock we saw coming
Everyone knew in which direction the pendulum was going to swing. The momentum of the right-wing AfD in Mecklenburg-Lower Pomerania was as predictable as the losses of the major parties, says DW's...
View ArticlePolisi wabaini ‘kiwanda cha silaha’
Polisi wamedaiwa kukamata silaha nzito za kivita na bunduki moja kati ya mbili zilizoporwa kwenye tukio lililotokea tawi la Benki ya CRDB, Mbande.
View ArticleKenyatta: Hatuna mgogoro na Tanzania
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema taarifa za vyombo vya habari zinazoeleza kuwa kuna mvutano baina ya nchi hiyo na Tanzania, ni uongo kwa sababu jambo hilo halipo.
View ArticleRisasi zalia ofisi za CUF
Polisi jana waliwatawanya wafuasi wa Mwenyekiti wa zamani wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kwa kufyatua risasi hewani ili kuwazuia wasivuruge mkutano wa waandishi wa habari uliotishwa na Mwenyekiti wa...
View ArticleSiri ya kupungua mizigo bandarini
Sintofahamu ya kupungua kwa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam imewaibua wadau na kueleza siri za tatizo hilo, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua za haraka.
View ArticleBOSSOU APIGA MOJA TOGO IKIUA TANO NA KUFUZU AFCON 2017
Beki kisiki wa Yanga na Timu ya Taifa ya Togo, Vincent Bossou akiwa ameanza kwenye kikosi cha kwanza baada ya muda mrefu ameisaidia timu yake ya taifa kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Djibouti...
View ArticleCrucial Hong Kong election attracts record number of voters
Votes are being counted in Hong Kong's crucial election, with a record number of people turning out to cast their ballot. The vote has been hailed as the most important poll since the handover from...
View ArticleWater utility attains top accreditation
Tanga Water and Sanitation Authority (Tuwasa) has become first Tanzanian organisation to receive the latest international standardisation accreditation status ISO 9001: 2015.
View ArticleMtaka ‘alia’ na kigezo cha elimu
Rais wa Shirikisho la Riadha nchini (RT), Anthony Mtaka amesema viongozi wengi wa vyama vya michezo ni wababaishaji ari inayochangia tasnia ya michezo nchini kutofanikiwa.
View Article‘Kama Manula tungepigwa 10’
Nyota wa zamani wa Yanga na Tanzania, Kitwana Manara amesema kama si umakini wa kipa Aishi Manula, Taifa Stars ingeweza kufungwa hata mabao 10-0 kwenye mchezo wa juzi dhidi ya Nigeria.
View ArticleKariakoo sasa Mkoa wa Kodi
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imelitangaza eneo la Kariakoo kuwa Mkoa Maalumu wa Kodi, ikiwa ni mkakati mmojawapo wa kuongeza wigo wa vyanzo vya kukusanya mapato kikamilifu.
View ArticleBayi awapa shavu wanariadha
Taasisi ya Filbert Bayi (FBF) imetoa ofa ya masomo kwa wanariadha 12 nchini, kuendelezwa vipaji vyao vya riadha na kocha wa mchezo huo kutoka Eldoret nchini Kenya.
View ArticleTrue crime
A web series where justice is determined by the audience and delivered by a vigilante group has become a huge hit in Kenya.
View ArticleThree sue EAC over losing jobs
The Secretary General of the East African Community (EAC) will be arraigned in court by former employees of the regional organisation for disbanding a peace and security unit over an alleged cash crunch.
View ArticleOrodha mauaji dada’ke Bilionia Msuya yaongezeka
Idadi ya washtakiwa katika kesi ya mauaji ya Aneth Msuya ambaye alikuwa dada wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, Erasto Msuya maarufu bilionea Msuya, imeongezeka na...
View ArticleGermany urges Russia to implement peace in Syria, Ukraine
Germany's foreign minister has urged Russia to finalize a ceasefire in Syria with the US. Chancellor Angela Merkel also addressed the situation in Syria with President Vladimir Putin at the sidelines...
View Article