Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Spika asema fedha za korosho zilimliza waziri kama mtoto

Ni Spika wakati akihitimisha hoja ya nape kuhusu fedha za korosho ghafi za wakulima

View Article


Rooney atua Washington, akaribia kuihama Everton

Washington.Wayne Rooney ametua Washington, Marekani kwa ajili ya kukamilisha mazingumzo na kufanya vipimo leo Alhamisi kuhusu uhamisho wake kutoka Everton kwenda DC United. Jana, Rooney alikatisha...

View Article


Unai Emery ahakikishiwa usajili wa kiwango Arsenal

Emery amechukua mikoba ya Arsene Wenger ambaye ameiongoza Arsenal kwa takribani miaka 22

View Article

AINA YA SUMU MWILINI, NAMNA YA KUZITOA

SUMU ni kitu chochote ambacho kinaweza kuingia mwilini na kusababisha mifumo ya mwili ishindwe kufanya kazi ipasavyo. Kutegemeana na namna ambavyo sumu inategenezwa, pia namna ambavyo inampata mtu,...

View Article

UTAFITI: KITAMBI KINAONGEZA HATARI YA KUPATA SARATANI

JOSEPH HIZA NA MASHIRIKA TUNAISHI katika jamii ambayo uzito wa kupita kiasi umekuwa sehemu ya mila na desturi yetu– licha ya kwamba ushahidi umeonesha kuwa uzito kupita kiasi au unene una athari mbaya...

View Article


WADAU WAITAKA SERIKALI KUMWEZESHA MWANAMKE SEKTA YA KILIMO

Johanes Respichius, Dar es Salaam Wadau wa kilimo nchini wameitaka Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kutambua nafasi ya mwanamke na kumpa kipaumbele kwa kumwekea mazingira wezeshi ili kufanya kilimo...

View Article

WAZIRI AWATAKA WAISLAMU WACHUKUE LIKIZO MFUNGO WA RAMADHAN

COPENHAGEN, DENMARK PENDEKEZO la Waziri wa Uhamiaji wa Denmark, Inger Stojberg linalowataka Waislamu kuchukua likizo wakati wa mwezi wa Ramadhani kwa ajili ya usalama wa jamii nzima limeshutumiwa...

View Article

MH17 was downed by Russian military missile: international investigators

International investigators have said detailed analysis of video images showed the missile used to down the Malaysian flight came from a Russian military unit.

View Article


Tanzanian University launches an App that tracks Ebola

Morogoro Researchers at Sokoine University of Agriculture (SUA) have come up with a digital surveillance app to empower communities report infectious diseases

View Article


MOURINHO ATIMUA WATU OLD TRAFFORD

MANCHESTER, England     JOSE Mourinho, amewaambia wachezaji wasio na mchango katika kikosi chake kusaka pa kutokea mapema kabla hajapitisha panga lake siku chache zijazo. Katika mazungumzo yake na...

View Article

RONALDO AKEJELI NEYMAR KWENDA REAL MADRID

  MADRID, Hispania     CRISTIANO Ronaldo amecheka baada ya kuulizwa juu ya staa Neymar kutua Real Madrid na kisha kusema ni kawaida kwa timu hiyo kuhusishwa na tetesi za usajili, hivyo huenda hata hizo...

View Article

BABU TALE AENDELEA KUSOTA MAHABUSU

NA KULWA MZEE   MENEJA wa staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hamis Shaban Taletale (Babu Tale), ataendelea kusota mahabusu hadi msajili aliyetoa amri ya kukamatwa kwake atakapokuja...

View Article

Makocha hawa wajiweka sokoni, rekodi zawabeba

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikielekea ukingoni, makocha 12 wanatarajiwa kupandisha presha ya vigogo wa klabu tofauti katika mbio za kusaka saini zao kabla ya msimu mpya kuanza.

View Article


Lechantre ataja usajili Simba SC

Simba imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kwa mara ya kwanza baada ya kupita miaka mitano

View Article

Kamati ya Bunge yaishukia Serikali kuchelewesha malipo ya makandarasi

Licha ya makandarasi kuwasilisha maombi ya malipo ya awali tangu Agosti 2017, ulipaji ulichukua takriban miezi minne

View Article


Kombora lililoidungua ndege ya Malaysia lilikuwa la Urusi

Watu wote 298 waliokuwa ndani ya ndege ya Boeng 777 waliuawa wakati ilivunjika vipande ikiwa safarini kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur

View Article

Wanasayansi Kenya wavumbua dawa ya Malaria kwa waja wazito

Dawa hiyo imefanyiwa majaribio na imegunduliwa kuwa salama kwa matumizi ya kuzuia Malaria kwa wanawake walio na miezi kati ya 4 hadi 9 ya uja uzito.

View Article


LUGHA NZURI NI SILAHA YA KUKUJENGEA UAMINIFU

Na Christian Bwaya UNAYE rafiki wa siku nyingi lakini miaka kadhaa imepita hamjawasiliana, leo asubuhi amekuandikia ujumbe mfupi wa maneno akisema: “Habari za siku ndugu yangu, unaendeleaje na maisha?...

View Article

SIRI YA KUWA NA FAMILIA YENYE UTULIVU

Na Christian Bwaya SOTE tunatamani kuwa na familia zenye utulivu. Utulivu una mambo matatu makubwa, kwanza; kuelewana. Kila mwanafamilia ni muhimu ajue mwenzake ana mahitaji gani, anapenda nini,...

View Article

Kocha Emery aanza mbwembwe Arsenal

Unai Emery ndiye mrithi wa Arsene Wenger katika kikosi cha Arsenal na muda mfupi tu ameahidi kuisuka timu hiyo.

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live