Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Gari lenye kasi zaidi duniani kuundwa

Mradi wa kuunda gari liendalo kasi Zaidi duniani umefufuliwa na gari hilo linatarajiwa kujaribu kuvunja rekodi ya dunia mwaka ujao.

View Article


Samatta ashangazwa kuhusishwa AS Roma

NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAM NAHODHA wa timu ya soka Tanzania ‘Taifa Stars’ anayekipiga katika klabu ya K.R.C Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, ameshangazwa na taarifa zilizosambaa katika mitandao ya...

View Article


Simba yamuathiri Kessy kisaikolojia

NA WINFRIDA NGONYANI, DAR ES SALAAM MENEJA wa beki wa Yanga, Ramadhani Hassan ‘Kessy’, Athumani Tippo, amesema suala la Simba kukataa kutoa barua ya ridhaa kwa beki huyo kuitumikia Yanga limemuathiri...

View Article

Mkutano Simba wasogezwa mbele

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM MKUTANO Mkuu wa wanachama wa klabu ya soka ya Simba uliopangwa kufanyika Julai 10, mwaka huu katika Ukumbi wa Maofisa wa Polisi Masaki, jijini Dar es Salaam, umesogezwa...

View Article

Bundi atua Yanga

NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM KUELEKEA katika mchezo wa Kombe la  Shirikisho Afrika  dhidi ya Medeama ya Ghana, timu ya Yanga imeendelea kukumbwa na majanga kwa  baadhi ya wachezaji wake tegemeo baada...

View Article


Azam yaleta kipa Mhispania

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM KLABU ya Azam FC juzi ilimleta kipa raia wa Hispania, Juan Jesus Gonzalez, kufanya majaribio ya kujiunga na timu hiyo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ujio...

View Article

#ThisFlag shuts down Zimbabwe

Zimbabwe’s capital Harare was turned into a ghost town on Wednesday as residents responded to a call by #ThisFlag Citizens Movement. Striking civil servants are yet to receive June salaries amid harsh...

View Article

Maamuzi ya mwisho ya mahakama kuhusu kesi ya Oscar Pistorious

Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp. Mwanariadha huyo tayari ameshatumikia kifungo...

View Article


Pistorius Gets 6 Years in Jail for Girlfriend's Murder

Paralympian Oscar Pistorius was sentenced to six years in jail Wednesday for murdering his girlfriend Reeva Steenkamp three years ago. Judge Thokozile Masipa cited mitigating circumstances such as his...

View Article


Oscar Pistorius: Six years for Reeva Steenkamp murder

South African Olympic athlete Oscar Pistorius is sentenced to six years in prison for the murder of his girlfriend Reeva Steenkamp in 2013.

View Article

Wauza dawa muhimu waonywa

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Dk Jerry Mwakanyamale amesema hatua ya wamiliki na wauzaji wa dawa muhimu kupandisha bei maradufu ni ukiukwaji taratibu.

View Article

Fedha za jimbo zamtumbua mweka hazina

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro mkoani hapa, limemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri hiyo, Rajab Lingoni kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo kupokea Sh80 milioni za Mfuko wa...

View Article

Protests erupt after Louisiana police kill black man

A black man was shot and killed by two white police officers in Baton Rouge after being pinned to the ground. A congressman has called for a US Justice Department investigation in the man's death.

View Article


Opinion: Clinton not yet in the clear

Even if the FBI has recommended that Hillary Clinton not be charged, she has not yet survived the ongoing email controversy. The label of "careless" is something that could be hard for her to lose,...

View Article

UK went to war in Iraq before diplomatic options were exhausted, says inquiry...

View Article


Matukio ya ugaidi yanavyoinyemelea Tanzania

Tatizo kubwa linaloikabili dunia kwa muda mrefu sasa ni kuwapo tofauti za kimtizamo kuhusu maana ya ugaidi hali inayochangia kutopatikana tafsiri moja inayokubalika kuhusu matukio hayo na nani ni gaidi.

View Article

AUDIO: Polisi Pwani yazungumizia picha zinazosambaa kuhusu ajali ya Ngorika...

Kumekuwapo na picha ambazo zimesambaa kuhusu ajali inayodaiwa kuhusisha basi la kampuni ya Ngorika na lingine la Ratco kwamba yamegongana uso kwa uso. Millardayo.com imempat kamanda polisi Pwani,...

View Article


Messi ahukumiwa ‘kufungwa miezi 21 jela’

Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Messi amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela, vyombo vya habari nchini Uhispania vinaripoti.

View Article

German government endorses balanced budget policy

The German cabinet has thrown its weight behind Finance Minister Wolfgang Schäuble's draft budget for next year and his financing plans up to 2020. The main message is no fresh borrowing will be needed.

View Article

Syrian army declares 72-hour halt in fighting

The Syrian regime troops have announced a unilateral three-day ceasefire coinciding with the end of Muslim holy month of Ramadan. The truce applies to the whole country, according to the army's statement.

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>