Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Polisi waeleza mtuhumiwa alivyombaka binti wa miaka sita

Polisi mkoani Tabora wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Utemini kata ya Ushokola wilayani Kaliua, Amos Zakaria kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka sita.

View Article


Kamati yabaini kasoro watumishi ATCL

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kusimamia ipasavyo nidhamu ya watumishi wake kwa sababu kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wateja kuhusu ukosefu wa nidhamu...

View Article


‘Bosi feki’ wa Necta kupanda kizimbani wiki hii

Ofisa feki wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) aliyekamatwa Januari 24, 2019 akiendesha ukaguzi katika Shule ya Sekondari Nuru atapandishwa kizimbani siku yoyote wiki hii.

View Article

28 wakiwamo wafanyabiashara mbaroni kwa tuhuma za mauaji Njombe

Baadhi ya  wafanyabiashara wa miji ya Njombe na Makambako mkoani Njombe ni miongoni mwa watu 28 wanaoshikiliwa na polisi wakituhusishwa na na mwendelezo wa matukio ya utekaji na mauaji ya watoto...

View Article

Club Africain coach Chiheb Ellili quits after record loss

Club Africain coach Chiheb Ellili quits after record 8-0 loss to TP Mazembe in the African Champions League.

View Article


Famed Finnish ski-jumper Matti Nykanen dies

The famed Finnish ski-jumper Matti Nykanen, who was dubbed the Flying Finn for his exploits, has died at the age of 55. While he was famous in his sport, in his private life he battled alcohol and...

View Article

Sugu aeleza aibu ya Uwanja wa Ndege Mbeya

KIPINDI ambacho Uwanja wa Ndege wa Songwe, Mbeya unapogubikwa na ukungu, rubani hupata tabu kutua na wakati mwingine hulazimika hurudisha ndege Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

View Article

Yara touts deal on soil research

Yara Tanzania, a Norwegian multi-national company that markets mineral fertilisers, farming tools and other inputs, said yesterday that its recently signed agreement on soil research and use of...

View Article


Dubai tycoon buys majority shares in TZ microfinance

Dubai-based billionaire Ricardo Badoer has made a major foray into Tanzania’s microfinance sector to unleash its untapped potential.

View Article


Skendo ya Giggs kumsaliti mke wa kaka yake yaitesa familia

Kaka yake Ryan Giggs bwana Rodri Giggs amesema kama mdogo wake (Ryan) atamtafuta hana tatizo na hilo. Kwa kipindi kirefu familia ya Giggs imekosa ushirikiano mara baada ya skendo ile. Hii ni mara baada...

View Article

Vipigo vya Simba kimataifa Shaffih Dauda awajia juu Ma-Pro

Asilimia kubwa ya wachezani wa kigeni wanaokuja kucheza Tanzania viwango vyao vinafanana na wachezaji wetu wazalendo ndio maana sio jambo la kushangaza kuwaona baadhi yao hawapati nafasi kwenye timu...

View Article

Waganga tiba asili Bariadi wapewa siku 16 kuwa na vitambulisho vya JPM

Derick Milton, Simiyu Waganga wa tiba asili waliopo wilayani humo, wamepewa siku 16 kuhakikisha kila mmoja anakuwa na kitambulisho cha wajasiriamali kilichotolewa na Rais John Magufuli. Agizo hilo...

View Article

Wapinzani Kulipeleka Sakata la Sh. 1.5 trilioni Kwa Wananchi

Wabunge wa kambi ya upinzani wamesema watalihamishia sakata la utata wa Sh.1.5 Trilioni majimboni kwao baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhitimisha kuwa fedha hizo hazikuibiwa au...

View Article


Wafanyabiashara wa Dawa za kulevya Wabuni Mbinu Mpya za Kusafisha....Tazama...

Na  Dixon Busagaga,Moshi Wafanyabiashara  wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamebuni mbinu mpya za kusafirisha Dawa hizo kwa kutumia magari ya Kifahari yakiwemo Toyota Land Cruser ,Toyota...

View Article

Wauguzi wagoma wakidai marupurupu yao Kenya

Wagonjwa nchini Kenya wameanza kujawa na hofu baada ya wauguzi kuapa kuendelea na mpango wao wa kutekeleza mgomo kuanzia leo Jumatatu.

View Article


Ndugai aitaka Serikali kutoa kauli mauaji ya watoto Njombe

Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Serikali kutoa kauli kuhusu mauaji ya watoto yanayoendelea mkoani Njombe kabla ya kuahirishwa kwa mkutano wa Bunge Ijumaa Februari 8, 2019.

View Article

Kanuni bora za ufugaji wa kuku wa kienyeji(kuku Asili)....Soma Hapa Uwe Tajiri

Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. Hata hivyo, pamoja na soko la uhakika, bado ufugaji kuku haujaweza kutumika ipasavyo...

View Article


Dr Mbalu: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri NKURUNGU,:...

View Article

Wema Sepetu: Sijakatwa Utumbo, Nimekonda Kisa Stress

Msanii kiwango Bongo Muvi, Wema Sepetu ameibua jipya kuhusiana na ishu yake ya kupungua uzito ambapo amesema sababu hasa iliyomfanya awe hivyo ni msongo wa mawazo ‘stress’.Wema kwa mara ya kwanza...

View Article

Molde yakubali kumwachia Solskjaer Man United

MANCHESTER, ENGLAND KLABU ya Molde ya Ligi Kuu Norway  imemtaka kocha wa muda wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, abaki  England kuendelea kuifundisha timu hiyo, baada ya mafanikio  aliyoyapata...

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>