Quantcast
Channel: Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live

Sababu za wanawake kuota ndevu, wanaume matiti zajadiliwa bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Zainab Mndolwa ameitaka serikali kufanya utafiti kuhusu madai ya baadhi ya wanawake kuota ndevu na wanaume kuota maziwa kutokana na kula nyama na mayai ya kuku wa kisasa....

View Article


Swali la kwanza la Mwijage baada ya kuvuliwa uwaziri

MBUNGE wa Muleba Kaskazini,Charles Mwijage kwa mara ya kwanza ameuliza swali bungeni baada ya kuvuliwa wadhifa wa uwaziri wa viwanda na biashara na Rais John Magufuli Novemba 10 mwaka huu. Anaripoti...

View Article


Fellaini bila nywele ageuka kituko

MANCHESTER, England KITENDO cha kiungo wa timu ya Manchester United, Marouane Fellaini, kunyoa nywele zake zilizokuwa kwenye mtindo wa ‘afro’, kimeonekana kuwa kituko kwa wanasoka wenzake na mashabiki...

View Article

Rooney aibuka na mpya kuhusu Man United

MANCHESTER, England WAYNE Rooney amefunguka kwamba kabla ya kuondoka England alitamani kustaafu soka akiwa na klabu ya Manchester United, lakini anaamini uamuzi alioufanya wa kuikacha ulikuwa ni...

View Article

MFALME Reus wa Dortmund anatukumbusha Cantona wa Manchester United

DORTMUND, Ujerumani HISTORIA inaonesha kwamba timu iliyoweza kufanya makubwa ikiwa na vijana wadogo ilikuwa ni Manchester United ya msimu wa 1995/96, ambayo hata hivyo ilianza Ligi kwa kichapo cha...

View Article


Watu 7 wanaotuhumiwa kwa ujambazi wauawa Mwanza

Watu saba wanaodaiwa kuwa majambazi wameuawa katika mapambano ya kujibizana kwa risasi na askari polisi katika tukio lililotokea alfajiri ya kuamkia leo eneo la Kishili jijini Mwanza.

View Article

Serikali inahofia nini kupiga marufuku mifuko ya plastiki?

Kwa muda mrefu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) imekuwa ikiahidi kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki ili kuhamasisha mbadala wake.

View Article

Serikali isiwasahau wanaowadai wakulima

Hatimaye Serikali imeamua kununua korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma. Ni uamuzi uliotokana na kile kinachoonekana kama kususa kwa wanunuzi wa zao hilo ambao hawakuwa tayari kununua kwa bei...

View Article


Hukumu ya Tido Mhando Desemba 18

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Desemba 18 itatoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando.

View Article


Mwijage aanza kuwapigania wananchi wake bungeni

Mbunge wa Muleba Kaskazini (CCM), Charles Mwijage ameitaka Serikali kuharakisha inapeleka umeme katika jimbo lake ili wananchi wanufaike na miradi ya umeme vijijini (Rea).

View Article

Wakulima kahawa watupia lawama wasimamizi

Wakulima wa kahawa wilayani hapa mkoani Songwe wameeleza sababu za kushuka kwa bei ya zao hilo kutoka Sh4,000 mwaka jana hadi Sh2,800 kwa kilo mwaka huu, kuwa imetokana na kukosekana kwa ubora...

View Article

Chirwa apora mtu jezi Azam FC

STRAIKA mpya wa Azam FC, Obrey Chirwa ameanza mambo mapema Chamazi baada ya kumpora jezi mshambuliaji chipyukizi wa timu hiyo, Waziri Junior anayejiandaa kutolewa kwa mkopo klabuni hapo.

View Article

Pogba amkosesha raha Dybala

Asema anaamini ataungana tena na Pogba na kucheza katika timu moja inga wahajui ni lili na watakuana katika timu ipi ila alicho na matumaini ni kuwa watajacheza pamoja.

View Article


Liuzio hesabu zake zipo CAF

STRAIKA wa Mtibwa Sugar, Juma Liuzio ‘Ndanda’ ambaye amekuwa akipishana na mechi za CAF, amesema bahati aliyokutana nayo msimu huu inamfanya ajipange ili afanye kweli katika mashindano ya Kombe la...

View Article

Nyota wa Southampton aikana England, Nigeria

Obafemi alizaliwa mjini Dublin, Ireland na kukulia jijini London, lakini wazazi wake wakiwa na asili ya Nigeira ambao walikwenda Ireland kwa ajili ya kutafuta maisha na mchezaji huyo alikuwa na fursa...

View Article


Winga Yanga anukia Prisons

WINGA EMMANUEL Martin ambaye amegeuka ‘mtumishi hewa’ ndani ya Yanga kwa kutopewa nafasi na Kocha Mwinyi Zahera anajiandaa kuchomoka klabu hapo ili akatafute maisha Prisons Mbeya.

View Article

Torres afichua kuhamia Japan

Torres alitamba kuwa ametwaa kila kitu katika maisha ya soka barani Ulaya ndiyo maana akakubali kuondoka Atletico Madrid na kujiunga na timu hiyo ya Ligi Kuu Japan.

View Article


Uchaguzi Mkuu Libya kufanyika mwakani

TRIPOLI, LIBYA MAKUNDI yanayopingana nchini hapa yamekutana kwa mara ya kwanza kwa muda wa zaidi ya miezi mitano mjini Sicily hapo jana huku Waziri Mkuu wa Italia, Giuseppe Conte akiwasilisha mpango wa...

View Article

May aungwa mkono na mawaziri kujitoa EU

LONDON, UINGEREZA WAZIRI Mkuu Theresa May ameungwa mkono na baraza lake la mawaziri kuhusiana na rasimu ya makubaliano kati ya Serikali yake na Umoja wa Ulaya (EU) juu ya masharti ya kujiondoa ndani ya...

View Article

TASAF yapiga marufuku walengwa kuchukuliwa fedha

Na DERICK MILTON MFUKO wa Mandeleo ya Jamii (TASAF)   umepiga marufuku utaratibu wa walengwawa mpango wa kunusuru kaya maskini kuchukuliwa fedha  zao   wanaposhindwa kuhudhuria kwenye   uhawilishaji....

View Article
Browsing all 132783 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>